Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Habari wana Jamvi?
Kuna Mgao unaoendelea kwenye Jiji la Arusha Takriban Sasa ni week Nikiongea na Wanajiji wa Arusha wamekwazika na kitendo hicho na wao kukifananisha na Hujuma kwao.
Kwenye pitapita yangu Maeneo Tofauti ya Jiji la Arusha Kuanzia Njiro, Themi, katikati ya Jiji, Sakina, Sanawari, Mbauda na Kwamrombo wakazi wa Maeneo hayo wamelalamika na kusema hizi ni Hujuma maana ni week sasa umeme wanawasha na kuzima na wamepata Hasara ya vitu vyao kungua na kuharibika.
Natumaini Tanesco Ujumbe huu utawafikia
Chanzo: Mwandishi Maalum
Kuna Mgao unaoendelea kwenye Jiji la Arusha Takriban Sasa ni week Nikiongea na Wanajiji wa Arusha wamekwazika na kitendo hicho na wao kukifananisha na Hujuma kwao.
Kwenye pitapita yangu Maeneo Tofauti ya Jiji la Arusha Kuanzia Njiro, Themi, katikati ya Jiji, Sakina, Sanawari, Mbauda na Kwamrombo wakazi wa Maeneo hayo wamelalamika na kusema hizi ni Hujuma maana ni week sasa umeme wanawasha na kuzima na wamepata Hasara ya vitu vyao kungua na kuharibika.
Natumaini Tanesco Ujumbe huu utawafikia
Chanzo: Mwandishi Maalum