wapuuzi sana hawa fisiem halafu TRA wanapita kukagua kama unalipa kodi na wakati biashara haziendibila umume, mashine za EFD baadhi nazo zinatumia umeme, unaambiwa kama hakuna umeme andika risti ya mkono umeme ukirudi ingiza hizo risiti kwenye mashine, hivi hizi garama zote za nini na kwa nini wanatesa wananchi uwe na kitabu cha dharura kwa garama zako, nchi hii inamateso machungu sana kuliko kukimbizana na IS.