Mgao sakata la escrow ulikuwa 40.4 kila mtu, aliyochukua 160 mil. waligawana 4 na aliyechukua 80.8 waligawana 2, wawaonyeshe waliowagawia
Bora shule zifunguliwe ukajifunze jinsi ya kuandika habari.Mgao sakata la escrow ulikuwa 40.4 kila mtu, aliyochukua 160 mil. waligawana 4 na aliyechukua 80.8 waligawana 2, wawaonyeshe waliowagawia
Mengi Vitalu vya Gesi tu vimemfanya atumie Mabilioni kumng'oa Mhongo wakati yeye amebunya mapesa kibao aliyopewa na Rostam kisha akamsaidia Jinsi ya kukwepa Kodi kutokana na Uzoefu wake wa miaka mingi . Sendeka sasa ni Milionea katumia vyema bifu la Mengi na Mhongo kujinufaisha baada ya Mengi kumpa Tenda ya kumng'oa Mhongo lakini wakashindwa kule Dodoma sasa wapo busy wakibuni njia ingine yaani badala Mengi aboreshe Masilahi ya Wafanyakazi wake yeye amekuwa busy kupoteza Mabilioni kwenye Ligi za dili zake binafsi huku akitumia Wananchi kusaka Huruma ingawa wengi sasa wamemshitukia.
Mengi Vitalu vya Gesi tu vimemfanya atumie Mabilioni kumng'oa Mhongo wakati yeye amebunya mapesa kibao aliyopewa na Rostam kisha akamsaidia Jinsi ya kukwepa Kodi kutokana na Uzoefu wake wa miaka mingi . Sendeka sasa ni Milionea katumia vyema bifu la Mengi na Mhongo kujinufaisha baada ya Mengi kumpa Tenda ya kumng'oa Mhongo lakini wakashindwa kule Dodoma sasa wapo busy wakibuni njia ingine yaani badala Mengi aboreshe Masilahi ya Wafanyakazi wake yeye amekuwa busy kupoteza Mabilioni kwenye Ligi za dili zake binafsi huku akitumia Wananchi kusaka Huruma ingawa wengi sasa wamemshitukia.
Nchi hii inaonekana anayelipa kodi kwa uaminifu ni mfanyakazi tu.Vyama vya wafanyakazi mnayaona haya?Dowans iliuzwa Kwa dola 120 million na Serikali ililipa fidia kwa dola 100 million zote hazikukatwa Kodi Mchezo wote ulisimamiwa na Rostam Aziz, chukua hizo dola 220 milion jumulisha na dola 300 million hisa zake za voda ni dola 520 milion, Huu Mchongo wote Mengi anaujua na alipewa Percent zake ndiyo maana alikaa kiimya kwa mda wote, Mwigulu anajua hili lakini naye kauchuna , Kodi iliyokwepwa hapa ni kubwa kuliko hata hiyo pesa yoote ya escrow, Chezea Rostam wewe....
Tatizo ni Kwamba Mengi kaamua kukomaa na Mhongo peke yake kisa alimnyima Vitalu vya Gesi pia alimnyang'anya Vitalu vya madini ambavyo alikuwa anavimiliki akawa halipi Kodi wala kuvuendeleza, Hili sakata linawahusu Majaji, Waziri wa fedha,Gavana, Waziri wa viwanda na biashara,mkurugenzi wa Tanesco, mwanasheria mkuu nk , Lakini cha Ajabu huyo Mengi kamshupalia Mhongo peke yake hao wengine hawaoni kabsa.Siiuoni kabisa uhusiano wa Mengi kumng'oa Muhongo na makosa ya kizembe aliyoyafanya huyu prof, hivi kua dalali wa kampuni binafsi, kurusu hisa kuuzwa kihuni na ukwepaji wa kodi wa kampuni ya PAP bila kusahau kuruhusu pesa za Escrow kuchukuliwa BOT wakati bado kuna kesi mahakamani, hapo Dr. R. A. Mengi anaingiaje? Muhongo ajilaumu mwenyewe kufanya vitu kama mtu ambae hakusoma, asitafute huruma na kusingizia watu.
Tatizo huyo Mzee kaoa Mjukuu wake na sasa amekuwa ndiye mshauri wake mkuu.Yani hapa umesema ukweli mtupu, hakuna mtu mnafiki kama Mengi. Huwa anapenda tu yeye awe juu na kufitinisha watu. Ni mkwepa kodi mzuri sana bila hivyo asikuwa na hela hizi. CCM walifanya kosa sana kumkumbatia lakini Nyerere alikuwa hataki hata kumsikia. Ni mtu wa kujipendekeza kwa viongozi ili aonekane ni mwema kumbe ni nyoka. Ila watu wengine wanajua ni mtu mzuri. Muhongo kachukua vitalu alivyokuwa anachimba madini bila kulipa kodi, leo hii anamfitinisha kwa wananchi ili tumuone Muhongo mbaya. Siipendi CCM lakini Muhongo ndiye Waziri pekee ninayemkubali.
Kwa hiyo turudi nyuma tuangalie huenda kuna kodi nyingi tu hazikulipwa kwenye mambo ya kuuzina sharesDowans iliuzwa Kwa dola 120 million na Serikali ililipa fidia kwa dola 100 million zote hazikukatwa Kodi Mchezo wote ulisimamiwa na Rostam Aziz, chukua hizo dola 220 milion jumulisha na dola 300 million hisa zake za voda ni dola 520 milion, Huu Mchongo wote Mengi anaujua na alipewa Percent zake ndiyo maana alikaa kiimya kwa mda wote, Mwigulu anajua hili lakini naye kauchuna , Kodi iliyokwepwa hapa ni kubwa kuliko hata hiyo pesa yoote ya escrow, Chezea Rostam wewe....
Heshima kwenu wanajamvi !
Heri kwa sikuuu ya Xmas na Mwaka mpya 2015
Harbinder ameonesha ni namna gani alivyo mwananaume wa shoka,watu wenye dhamana wanaogopa kufanya maamuzi ya maana juu ya ESCROW kwa kwa kulinda maslahi ya Taifa, kisa ni huyu Singa na washarika walionufaika na Issue nzima ya IPTL/ESCROW.
Congratulation Harbinder for keeping our government in your Pocket.But I wonder how great your pocket is? Enough to keep our government in your pocket ? Keep it up Harbinder.
Nawasilisha kwa kejeli moyoni naumia.
UKANA SHILUNGO,
Likizoni Masasi.