kwa hiyo kuweka mganga mahabusu ndo mkakakati wa awamu ya tano wa kupambana na magonjwa ya mlipukoMsimu wa Sikukuu za Xmas na mwka mpya umekuwa mbaya kwa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Singida baada ya kuwekwa ndani na kushikiliwa na Jeshi la Police baada ya wananchi wa halmashauri hiyo kuugua ugonjwa wa kipundupindu.
Akitoa taarifa ya hali ya kipundupindu kwa Mh Mkuu wa Mkoa; Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida alisema Daktari huyo wa wilaya hajawajibika ipasavyo katika kupambana na kipindupindu hivyo ugonjwa huo kuenea kwa kasi, Baada ya kauli hiyo ndipo Mkuu wa Mkoa akatoa amri halali ya kumuweka ndani Mganga Mkuu wa Wilaya ili iwe funzo kwa watendaji wabovu.
My take kasi hii ikiendelea hivi hata kwa magonjwa kama ya ukimwi kwa madakatri wa wilaya na mikoa kuwekwa ndani pindi Maambukizi ya UKIMWI yanapoongezeka inaweza kusaidia kupunguza kasi ya maambukizi
kupambana na cholera is not a joke especially km wilaya haina maji safi na salama ya uhakika! hii cycle ya cholera itaendelea tu miaka na miaka km nchi nzima haitakuwa na maji safi na salama!Msimu wa Sikukuu za Xmas na mwka mpya umekuwa mbaya kwa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Singida baada ya kuwekwa ndani na kushikiliwa na Jeshi la Police baada ya wananchi wa halmashauri hiyo kuugua ugonjwa wa kipundupindu.
Akitoa taarifa ya hali ya kipundupindu kwa Mh Mkuu wa Mkoa; Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida alisema Daktari huyo wa wilaya hajawajibika ipasavyo katika kupambana na kipindupindu hivyo ugonjwa huo kuenea kwa kasi, Baada ya kauli hiyo ndipo Mkuu wa Mkoa akatoa amri halali ya kumuweka ndani Mganga Mkuu wa Wilaya ili iwe funzo kwa watendaji wabovu.
My take kasi hii ikiendelea hivi hata kwa magonjwa kama ya ukimwi kwa madakatri wa wilaya na mikoa kuwekwa ndani pindi Maambukizi ya UKIMWI yanapoongezeka inaweza kusaidia kupunguza kasi ya maambukizi
Hiyo ni AMRI HALALI na walielekezwa na "BWANA YULE"kwa hiyo kuweka mganga mahabusu ndo mkakakati wa awamu ya tano wa kupambana na magonjwa ya mlipuko
Mwele hamkumwelewa....kwa hiyo kuweka mganga mahabusu ndo mkakakati wa awamu ya tano wa kupambana na magonjwa ya mlipuko
Nanisensi kwa mtoa mada au mkuu wa mkoa..?Nonsense
Kwa kosa gani ??? aliachiwa bila kupelekwa mahakamani ni uonevu tuAkishamuweka ndani atamfikisha Mahakamani?
Teh teh......na kupewa barua za kutemeshwa mzigo.kwa hiyo kuweka mganga mahabusu ndo mkakakati wa awamu ya tano wa kupambana na magonjwa ya mlipuko