Mganga aliyeahidi kuwapa Mali ubingwa wa AFCON amekamatwa

Mganga aliyeahidi kuwapa Mali ubingwa wa AFCON amekamatwa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Nje ya uwanja vyombo vya habari nchini Mali vimeripoti kukamatwa bwana mmoja aliyefahamika kwa jina la Sinayogo ,ambaye ni Mganga wa kienyeji , hii baada ya kudaiwa kupokea jumla ya €33,500 [Tsh. 97 Milioni] akiwahakikishia watu kuwa Mali itabeba ubingwa wa AFCON.

1768309677465.png
Sinayogo alikusanya pesa hizo kutoka kwa mashabiki wa timu ya taifa ya Mali, akisema ana uwezo wa kuwasaidia Mali kuwa mabingwa AFCON.

Baada ya timu hiyo kutolewa, watu wenye hasira kali walikusanyika nyumbani kwake ili wamchukue ndipo polisi walipoingilia kati ili kuzuia fujo na kumtia nguvuni.

1768309526500.png
 
Vyombo vya habari nchini Mali vimeripoti kukamatwa kwa jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina la Sinayogo, ambaye ni Mganga wa kienyeji baada ya kudaiwa kupokea jumla ya €33,500 [ Milioni 97 za Tanzania ] akiwahakikishia watu kuwa Mali itabeba ubingwa wa AFCON2025 nchini Morocco.
Sinayogo alikusanya pesa hizo kutoka kwa mashabiki wa timu ya taifa ya Mali akisema ana uwezo wa kuwasaidia Mali kuwa mabingwa AFCON.
Baada ya timu hiyo kutolewa, watu wenye hasira kali walikusanyika nyumbani kwake ili wamchukue ndipo polisi walipoingilia kati ili kuzuia fujo na kumtia nguvuni.
 

Attachments

  • IMG-20260113-WA0049.jpg
    IMG-20260113-WA0049.jpg
    144 KB · Views: 9
Africa tungeweza kuondokana na mambo ya ushirikina pamoja na dini huwenda tusingekuwa hapa tulipo.

Tuna spend muda mwingi kutafuta suluhu ya changamoto zetu kupitia imani za kishirikina na kupitia miujiza.

Laiti kama tungekuwa na uelewa kwamba hayo mambo hayana uhalisia huwenda mindset zetu zinge-invest kufanya innoviations nyingi za kudili na hizo changamoto.
 
Nje ya uwanja vyombo vya habari nchini Mali vimeripoti kukamatwa bwana mmoja aliyefahamika kwa jina la Sinayogo ,ambaye ni Mganga wa kienyeji , hii baada ya kudaiwa kupokea jumla ya €33,500 [Tsh. 97 Milioni] akiwahakikishia watu kuwa Mali itabeba ubingwa wa AFCON.

Sinayogo alikusanya pesa hizo kutoka kwa mashabiki wa timu ya taifa ya Mali, akisema ana uwezo wa kuwasaidia Mali kuwa mabingwa AFCON.

Baada ya timu hiyo kutolewa, watu wenye hasira kali walikusanyika nyumbani kwake ili wamchukue ndipo polisi walipoingilia kati ili kuzuia fujo na kumtia nguvuni.

Ndio maana nikaachana na ulozi na mambo ya kutabiri mipira😂
 
Ujinga kama huo pia mnaweza mkalaumu wazungu kama ilivyo ada kusingizia wazungu kwa masaibu yetu.?
 
Back
Top Bottom