Uhakiki hautazidi miezi miwili, mgambo waajiriwe na jwtz, Oljoro kuna watu kuyoka jkt kwendq mafunzo ya TPDF tokea mwezi wa tatu adi leo wamebaki kua wazalendo tu....kozi inazidi kuyeyuka tu.
Kweli wanasiasa wanajua kuchezea akili ya watu waraisi kama waTanzania.