kwanini tu
Member
- Nov 8, 2011
- 50
- 63
Baada ya kuona watu wanafanya usafi.Leo wanapita kila duka kukagua kama una dustbin.kama huna fine elfu hamsini.
Huo utaratibu wa dustbin ulianzishwa lini?
Huo utaratibu wa dustbin ulianzishwa lini?
Wakala wa mobilepesa, noti mbovu anazipeleka benki hazitupi.Kama huna dustbin huo uchafu wa hapo dukani hua mnautupia wapi?
Sijakusoma mkuu.Wakala wa mobilepesa, noti mbovu anazipeleka benki hazitupi.
ila kwa sasa kidogo wamekuwa wapole juzi niliwakuta kwenye duka moja tandika mmoja anauliza IKO WAPI FAYA TINGISHA(fire extinguisher)hahahahaha!!!nikasema kazi ipo na huko tena kwenye faya tingisha wapoBaada ya kuona watu wanafanya usafi.Leo wanapita kila duka kukagua kama una dustbin.kama huna fine elfu hamsini.
Huo utaratibu wa dustbin ulianzishwa lini?
Na ukibisha kulipa unapigwa na magongo kama yule jamaaBaada ya kuona watu wanafanya usafi.Leo wanapita kila duka kukagua kama una dustbin.kama huna fine elfu hamsini.
Huo utaratibu wa dustbin ulianzishwa lini?
Kwenye boksiKama huna dustbin huo uchafu wa hapo dukani hua mnautupia wapi?
hahahahahaha nimechekaila kwa sasa kidogo wamekuwa wapole juzi niliwakuta kwenye duka moja tandika mmoja anauliza IKO WAPI FAYA TINGISHA(fire extinguisher)hahahahaha!!!nikasema kazi ipo na huko tena kwenye faya tingisha wapo