Yawezekana unaumizwa na matokeo ya sasa TANESCO yamkini yanasababisha uwaze ivo lakini amini kwamba! Wapo Watanzania wanaoweza kusimama na kuifanya TANESCO kuwa bora zaidi.
Myonge mnyongeni haki yake mpeni, wakati wa JPM hali ilikuwa shwari sana kwenye sekta ya umeme, na hii ilisababishwa na uwepo wa watu waadilifu na waaminifu( kwa kuogopa mamlaka au uadilifu binafsi, lakini walikuwa na uadilifu)
Wakati wa SSH, mawaziri wengi hawana uwezo na uadilifu, ni deal from land to air. Upigaji ukarasimishwa kwa kuqmbiwa wale kwa urefu wa kamba zao, dogo kaharibu nishati kapelekwa Foreign (SSH Mungu anakuona)
Mwisho, hakuna kuwajibishana hata kidogo, ndio viongozi wetu hao, hatuwezi laumu sana kwani SHH alijionesha ni mtu wa namna gani, baada ya kupata Urais miezi kadhaa akatangaza nia ya kugombea 2025, this portrayed kwamba anawaza uchaguzi kwanza na kuyaweka maslahi ya umma pembeni, halafu tutegemee mabadiliko? Yapi? Kutoka kwa nani?
TULIWAHI SANA KUPATA UHURU.