Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,524
- 14,395
Elimu ni msigi wa mandeleo endelevu, Hata hivyo mifumo duni ya elimu inashindwa kutoa maarifa na stadi zinazohitajika kwa ajira ya soko la kazi na kuboresha ubora wa maisha. Elimu yetu imejikia katika ajira na si kujitegemea. Elimu yetu imetufumba katika kuwa na fikra tunduizi (Crictical thinking) bali kuweza kujibu maswali. Ni elimu ya kujificha kwenye kichaka cha ajira.
VIJANA wengi wanaosoma kwa bidii ili waweze kufaulu mtihani na si kujua mambo. Kuna watu wengi walioelimika lakini pia kuna kundi ndani yake ambalo halina akili pamoja na kusoma kwao.
Wingi wa Vijana wasio na ajira na ukosefu wa fursa za Ujasiriamali ni changamoto kubwa inayosababisha kukosa motisha na kuongeza umasikini.
Vijana ndio nguvu kazi ya UTAJIRI WA TAIFA LOLOTE, iwapo vijana watageuka kuwa watafutaji wa mlo wa siku basi suala la maendeleo tulisahau.
Kuna Vijana wanaoamini katika ajira na bado ndoto zao zisizokamilika zipo huko. Ajira ndio kila kitu kwa kuwa kuna kipato cha uhakika, Lakini suala la kujiajiri linataka mambo mengi ikiwamo ELIMU na MTAJI na sisi ni MASIKINI tutasubiri sana.
VIJANA wengi wanaosoma kwa bidii ili waweze kufaulu mtihani na si kujua mambo. Kuna watu wengi walioelimika lakini pia kuna kundi ndani yake ambalo halina akili pamoja na kusoma kwao.
Wingi wa Vijana wasio na ajira na ukosefu wa fursa za Ujasiriamali ni changamoto kubwa inayosababisha kukosa motisha na kuongeza umasikini.
Vijana ndio nguvu kazi ya UTAJIRI WA TAIFA LOLOTE, iwapo vijana watageuka kuwa watafutaji wa mlo wa siku basi suala la maendeleo tulisahau.
Kuna Vijana wanaoamini katika ajira na bado ndoto zao zisizokamilika zipo huko. Ajira ndio kila kitu kwa kuwa kuna kipato cha uhakika, Lakini suala la kujiajiri linataka mambo mengi ikiwamo ELIMU na MTAJI na sisi ni MASIKINI tutasubiri sana.