wanadai TaNEPS haipo secured sana kwakua inaruhusu Unauthorized people pia kufanya manunuzi, ila hii Nest wanadai itakua specific Mgavi fulan kafanya manunuzi haya na haya na taarifa zake zote. Pia itakuwa na mfumo wa kuwa na wazabuni maalumu watakao kuwa recognised na serikali
wanadai TaNEPS haipo secured sana kwakua inaruhusu Unauthorized people pia kufanya manunuzi, ila hii Nest wanadai itakua specific Mgavi fulan kafanya manunuzi haya na haya na taarifa zake zote. Pia itakuwa na mfumo wa kuwa na wazabuni maalumu watakao kuwa recognised na serikali
wanadai TaNEPS haipo secured sana kwakua inaruhusu Unauthorized people pia kufanya manunuzi, ila hii Nest wanadai itakua specific Mgavi fulan kafanya manunuzi haya na haya na taarifa zake zote. Pia itakuwa na mfumo wa kuwa na wazabuni maalumu watakao kuwa recognised na serikali
mifumo kama mifumo na bado mtajua hamjui, kuna na wale jamaa wa kuitwa GIPSA, hatari sana, nchi hii kama imerogwa vile , tunahitaji mkoloni mwingine ili akili zitukae sawa.