Mfanyakazi wa stationery anahitajika

Mfanyakazi wa stationery anahitajika

KIM JONG

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
213
Reaction score
57
Mfanyakazi wa stationery anahitajika. Sifa: Awe amemaliza Kidato cha 4+, awe amesoma kozi za computer au secretarial, awe na uzoefu kuanzia miezi 6.

Mahali: Kisarawe
Mshahara: Mapatano
Marupurupu: sh 5,000 kila wiki - nje na mshahara.

Mfanyakazi atapangishiwa chumba na ataishi hapohapo Kisarawe.

Kwa anayehitaji piga 0656853467
 
Nimeongea na mmiliki na anahitaji wafanyakazi 2. Kazi kwenu vijana mnaohitaji KAZI.
 
Kwa kweli Kwa shida ya usafiri ilivyo mfanyakazi kama anapangishiwa chumba maeneo ya karibu na ofisi nianze kuuliza Kwa ndugu na jamaa mwenye uzoefu aweze kupata Kazi hiyo
 
Mfanyakazi wa stationery anahitajika. Sifa: Awe amemaliza Kidato cha 4+, awe amesoma kozi za computer au secretarial, awe na uzoefu kuanzia miezi 6.

Mahali: Kisarawe
Mshahara: Mapatano
Marupurupu: sh 5,000 kila wiki - nje na mshahara.

Mfanyakazi atapangishiwa chumba na ataishi hapohapo Kisarawe.

Kwa anayehitaji piga 0656853467

Nina mpenzi wangu ana uzoefu wa miaka 20,anataka mshahara laki 9.
 
Mfanyakazi wa stationery anahitajika. Sifa: Awe amemaliza Kidato cha 4+, awe amesoma kozi za computer au secretarial, awe na uzoefu kuanzia miezi 6.

Mahali: Kisarawe
Mshahara: Mapatano
Marupurupu: sh 5,000 kila wiki - nje na mshahara.

Mfanyakazi atapangishiwa chumba na ataishi hapohapo Kisarawe.

Kwa anayehitaji piga 0656853467

Ok my friend needs that call 0713615757
 
I thought is either you or your friend that is supposed to call... Otherwise I commend the guy for his willingness to assist his fellow citizens through this way. Serious persons should show interest through calling!
 
Ni vizuri pia kuwapa jiografia kidogo. Kisarawe si mbali na Dar. Ni kama 26km kutoka Posta DSM na pia in km 12 toka Gongolamboto na njia ni lami. Kwa hiyo mfanyakazi mtarajiwa anaweza kufika binafsi na kuona mazingira ya kazi. Serious person - Piga namba niliyotoa juu.
 
Habari za siku wakuu. Kupitia thread hii jamaa kaweza kupata vijana 2 na tayari wanapiga mzigo.

Sasa kuna nafasi nyingine eneo hilohilo la Kisarawe. Wanatakiwa vijana 2 (wa kiume) wenye ujuzi kiasi wa kutengeneza magari. Mahali hapo sio gereji bali ni Car Service Centre. Wanafanya matebgenezo madogo ya Gari ikiwa ni pamoja na kuziba pancha, kuchaji betri na kufanya service za magari.

Kama unaye kijana au unataka kumsaidia kijana basi kazi ni kwako. Piga namba hiyo niliyotoa ktk thread hii nitakuunganisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom