Weka namba ya simu hataya huyo bosi wakoHabari, nahitaji mfanyakazi wa Stationery.
VIGEZO.
-Awe ana ujuzi wa kutumia Computer(ms.office package).
-umri 20-25.
-Awe mkaazi wa maeneo ya G/mboto
Kama unahitaji na una vigezo niPM kwa maelekezo zaidi.
Hilo swali jiulize mwenyewe ukiweza na vigezo ukiwa navyo karibu.Kama nakaa Kigogo fresh haiwezekani?
Nimesomea masuala ya Data
Habari, nahitaji mfanyakazi wa Stationery.
VIGEZO.
-Awe ana ujuzi wa kutumia Computer(ms.office package).
-umri 20-25.
-Awe mkaazi wa maeneo ya G/mboto
Kama unahitaji na una vigezo niPM kwa maelekezo zaidi.
Ok ngoja nimstue muhusika akucheki..Hilo swali jiulize mwenyewe ukiweza na vigezo ukiwa navyo karibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Explain this...
Hi I'm Tanzanian lady, 22 aged.nimesomea kozi ya Computer Applications kazi nazoweza kufanya.
Stationery(i have an xperience), Customer care and other related. (Im fast learner, good team work and honest.
Please pm me if you can help.
Nitumie hiyo namba pm hata email ya ofisini ili maombi yatumwe hukoSijaweka no za simu ili kuepusha usumbufu, maana wapo watakaopiga kwa sababu zao tofauti na mada husika. Kwa wenye uhitaji watakuja PM
Sent using Jamii Forums mobile app
We mkaka wa Buza una matatizo gani lakini, nimesema pale mwenye uhitaji aniPm nimpe maelekezo zaidi na nimetoa sababu ya kwanini sijaweka namba hapa, unanambia nikutumie namba PM like seriously? Unataka utume maombi kwenye Email utaratibu huo amekupa nani?? Wasiwasi wako ni nini?Nitumie hiyo namba pm hata email ya ofisini ili maombi yatumwe huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Explain this...
Nimeshakuja PMWe mkaka wa Buza una matatizo gani lakini, nimesema pale mwenye uhitaji aniPm nimpe maelekezo zaidi na nimetoa sababu ya kwanini sijaweka namba hapa, unanambia nikutumie namba PM like seriously? Unataka utume maombi kwenye Email utaratibu huo amekupa nani?? Wasiwasi wako ni nini?