Kwa hyo unamaanisha jk ..........
Hapana iko hivi tezi dume anapata mwanaume ambae umri umeenda mara nyingi ni kuanzia miaka 55 na kuendelea mpaka 60 na kuendelea ,japo si wote hupatwa na hali hii,vipi baba yako amesalimika?
Kwa hyo unamaanisha jk ..........
Hapana iko hivi tezi dume anapata mwanaume ambae umri umeenda mara nyingi ni kuanzia miaka 55 na kuendelea mpaka 60 na kuendelea ,japo si wote hupatwa na hali hii,vipi baba yako amesalimika?
Kuna jamaa mmoja alikuwa mtoto pekee kwa mama yake,halafu mama alikuwa nazo.Ebwana jamaa kaanza kuwagonga tokea akiwa darasa la nne.Huyu jamaa kwanza mpaka tunafika la saba robo tatu ya wasichana darasa letu aliwapitia,kishule ndiyo usiseme.Mjinga pamoja na home mambo safi lakini alikuwa Mchezaji mzuri wa mpira wa miguu.Ebwana jamaa akienda Interschool competition lazima aibuke mchezaji bora.Huyu mwamba yaani alikuwa kivuruge 2000_2010 nasikia saivi ameoa rasmi.Kuna demu mimi nilikuwa namfukuzia nikijua nimepata,siku moja nikaona jamaa katika stori zake sijui demu alimwambia na mie namtaka.Nilimvulia kofia huyu jamaa(jamaa kuna familia kadhaa alitembeza dushe Dada,Anti,nk).