Hahahahaka n ww ngoja 2ongee nkupe lile prado lang nlomwazma diamond af nkufungulie salun pale sinza kwa remmy yan lazma ujdai yan mtt umeumbka ww@evelyn salt
Evelyn Salt baby wangu unataka nini toka kwanguKweli dunia ina mambo na vijambo leo nmeanzisha thread watu wapost pic zao Evelyn Salt akapost picha iliyonistua huwezi amini lakini amini usiamini Evelyn Salt ni star mwenye pesa chafu huko uingereza ambae anafahamika kwa jina la Sara Ianni Sharif
Picha aliyopost:
View attachment 140568
thread hii hapa:https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/608373-tujuane-kwa-sura-tupia-pic-zako.html
Picha halisi za mwanada sara ianni sharif ni hizi
Evelyn Salt baby wangu unataka nini toka kwangu
Najisikia kukuhonga dunia utafiti kasema mungu fundi ni fundi kweli kweli!umeumbika ni mzuri.
Itabidi niajiri mpiga picha wangu kabisa, sijui nimnyang'anye diamond....Hahahahaha kumbe huwa mnayumba namna hii na akanana wa watu....
Hahahahahaha
Je ungependa kuwa mwanafunzi wa Mwl Evelyn Salt?Kumbuka nafasi za kupokea wana funzi ni chache.
Hahahahaha Mwlm umekuwa Celeb kama Wema na Kajala hahahahaha
Hahahaha hilo pozi kama la babu Asprin vile.
Kibo10 unafkiri nilitania? Mungu fundi bana embu rudia kumuangalia Evelyn SaltEvelyn Salt baby wangu unataka nini toka kwangu
Najisikia kukuhonga dunia utafiti kasema mungu fundi ni fundi kweli kweli!umeumbika ni mzuri.
Mmh we shemeji wewe....!!!
Huyu mbona kama lipumba enzi za ujana wake?
Kweli dunia ina mambo na vijambo leo nmeanzisha thread watu wapost pic zao Evelyn Salt akapost picha iliyonistua huwezi amini lakini amini usiamini Evelyn Salt ni star mwenye pesa chafu huko uingereza ambae anafahamika kwa jina la Sara Ianni Sharif
Evelyn Salt tupia picha yako basi
Nampikiaga mchuzi huo acha kabisa, hata nnaokula mie haupo hivo....Eve, huyo nyau mbona unambusu kwa hisia sana? Hakalambagi mchuzi wa kwenye nanihii hako?
Kweli dunia ina mambo na vijambo leo nmeanzisha thread watu wapost pic zao Evelyn Salt akapost picha iliyonistua huwezi amini lakini amini usiamini Evelyn Salt ni star mwenye pesa chafu huko uingereza ambae anafahamika kwa jina la Sara Ianni Sharif
Evelyn Salt tupia picha yako basi
We ya kwako ipo wapi?hiyo ndo picha yangu nipo uingereza...
Nampikiaga mchuzi huo acha kabisa, hata nnaokula mie haupo hivo....
Naona unafukua makaburi mzee wa mia.Jamani!