crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,951
Hata mimi nawashangaa wakati habari yenyewe ni nusu nusu. Inaweza kuwa kaiba, katapeli au kabaka na sio siasa. Tusubiri.Unajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
Hata mimi nawashangaa wakati habari yenyewe ni nusu nusu. Inaweza kuwa kaiba, katapeli au kabaka na sio siasa. Tusubiri.Unajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
View attachment 526952
Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yupo kwenye mikono Salama ya polisi (amekamatwa) kwa ajili ya mahojiano kituo cha polisi Mbezi, sababu haijajulikana.
More to follow!
Hahhahahahah obvious things utaskia uchochezi ama intellijensia!!!! Kwa ufupi sababu za kuokoteza ila sababu za wazi kabisa kma waliohongwa na kuingia mikataba mibovu mpaka sasa hawahojiwa!!!!! je wwe unaona sawa tu msumeno kukata sehem moja tuUnajuwa kakamatwa kwa sababu gani?
Sheria inasema polisi akikumata anapaswa awe na hati ya kukukamata pia akueleze sababu ya kukukamata.
Wamempa lift tu.Nadhani ni kweli alituma salaam Uk.jiji la London sasa naona wanataka kumuuliza kwa nini amefanya hivyo.
Siasa za kishamba za ccm zimebomoa Taifa .Hahhahahahah obvious things utaskia uchochezi ama intellijensia!!!! Kwa ufupi sababu za kuokoteza ila sababu za wazi kabisa kma waliohongwa na kuingia mikataba mibovu mpaka sasa hawahojiwa!!!!! je wwe unaona sawa tu msumeno kukata sehem moja tu
Hatutakubaliana na hilo , Kama Mmbwai na iwe Mmbwai tuTanzania bora uishi maisha yako tu tofauti na hapo kuna watu utawagusa watakugusa pia
Upuuzi wa hali ya juu mkuuHivi ndiyo viwanda vya CCM, badala ya kupambana na majambazi Kibiti tuna pambana na wapinzani.
Zipo mkuu sema ni mfuKwani hapo kwenu bongo kuna sheria ??
hahahaha, nimecheka sanaUnaweza kukuta Kosa lake ni kutuma salam za pole kwa Meya wa London kwenye ile ajali ya moto, eti ataulizwa amepata wapi hiyo ruhusa.