GE2025 Meya wa Manispaa ya Mpanda, Haidary Sumry achukua fomu ya ubunge jimbo la Mpanda mjini

GE2025 Meya wa Manispaa ya Mpanda, Haidary Sumry achukua fomu ya ubunge jimbo la Mpanda mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA MPANDA HAIDARY H. SUMRY ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MPANDA MJINI

Aliekua Mstahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda 2020-2025 Mh. Haidary H. Sumry ambae pia ni Mjumbe wa baraza kuu la jumuiya ya Wazazi Taifa kutokea mkoa wa Katavi, leo tarehe 29/6/2025 amejitokeza kuchukua fomu ya ubunge wa jimbo la Mpanda mjini katika ofisi za CCM wilaya ya Mpanda.
1751191023724.png
 
Back
Top Bottom