Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Asante kwa taarifa hii, siku hizi kuongozi wa upinzani kuhamia CCM is not news, imezoeleka, tumpongeze tuu kwa uamuzi huu, maana sasa ndio amejitambua, ameona mbali and did the right thing.UPDATES: Meya wa Ilala Charles Kuyeko ametangaza kujiuzulu "Rais Magufuli ni mtu wa kuigwa, anastahili sifa na kazi ya kutukuka, nawaheshimu Viongozi wa CHADEMA kwa kunipa nafasi, nawashukuru na nitaendelea kuwaheshimu lakini mapenzi yangu ya dhati ni CCM" #MillardAyoBREAKING
Anaunga juhudi😂😂😂
Tunaweza kupata tathmini ya hali ya majimbo baada kujitoa upinzani na kurudi CCM?UPDATES: Meya wa Ilala Charles Kuyeko ametangaza kujiuzulu "Rais Magufuli ni mtu wa kuigwa, anastahili sifa na kazi ya kutukuka, nawaheshimu Viongozi wa CHADEMA kwa kunipa nafasi, nawashukuru na nitaendelea kuwaheshimu lakini mapenzi yangu ya dhati ni CCM" #MillardAyoBREAKING