Msuha Aron
Member
- Oct 7, 2016
- 10
- 2
Wadau naomba msaada kuhusiana na hiyo coarse ya hapo juu, nimechaguliwa UDOM VP hiyo coarse wadau ipo Marketing, naombeni ushauri wenu wadau!!!!!!!!!!!!!!
Migodi ishakufa,soma kwanza na ujiandae kwenda kulimaWadau naomba msaada kuhusiana na hiyo coarse ya hapo juu, nimechaguliwa UDOM VP hiyo coarse wadau ipo Marketing, naombeni ushauri wenu wadau!!!!!!!!!!!!!!

Niandae nguvu gan jombaaaaaaaaaaah??????? Mbona sikuelewiandaa nguvu
Kwan hiyo coarse inahusiana na kilimo jombaaaaaaaaaaah mbona unanishangaza Sana????????????????Migodi ishakufa,soma kwanza na ujiandae kwenda kulima
kutembea na vyeti roadNiandae nguvu gan jombaaaaaaaaaaah??????? Mbona sikuelewi
Hiyo kozi kupata kazi ni ngumu sana,hata kujiajiri pia ,kwasababu kilimo ni uti wa mgomo,ukikwama usisite kulima matikitiKwan hiyo coarse inahusiana na kilimo jombaaaaaaaaaaah mbona unanishangaza Sana????????????????

Hiyo kozi kupata kazi ni ngumu sana,hata kujiajiri pia ,kwasababu kilimo ni uti wa mgomo,ukikwama usisite kulima matikiti![]()
![]()
![]()

karibu sana mtaani wenzio wapo mwaka wa saba huu wameamua kuwa walimu wa tuition mwenge dsm
***** zao si wangesomea ualimu tu