Kama kuna sheria ya kuzuia kuiga basi itakuwa imepitwa na wakati karne hii. Huwezi kuanzisha kitu halafu uzuie wengine wasiige, wataiga tu, tena wataiga na kuboresha zaidi. Ni hulka binadamu kuigana mambo wanayovutiwa nayo kwa namna mbalimbali. Kuigana ndiyo maendeleo yenyewe