Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,857
- 3,050
Umeshasema Brazil ilikuwa kwenye peak hence tunahitimisha kwamba si Pele aliyesababisha Brazil ichukue mara 3 bali ni collective performance ya timu ndiyo ilisababisha timu kubeba kombe hili mara 3Duh kwahio Hoja ya Ligi na defense na like for like inakuja kwa suala la Messi tu..., sio nyie mliosema kwamba Pele hakucheza ulaya alicheza mchangani ?
Hivi unajua Pele alizifunga Timu za ulaya na makombe ya Ulaya na South America kuchukua ? Hivi unajua tukichukua mechi za Pele overall ana goli zaidi ya elfu moja ?
Hivi unajua kwenye early 60's mpaka 70's Brazil ndio ilikuwa katika peak na kipindi hicho wachezaji ma-star wote wanacheza kwao ? au wewe unataka kuchukua stats zipi ?
Like for like wote walipocheza ni world cup na mmoja kacheza worldcup nne mbili kati ya hizo kacheza mechi mbili na mojawapo alianza mkeka na amechukua makombe matatu mwingine ni mmoja kati ya wanaoongoza kucheza kombe la dunia na amefika fainali mara mbili (ila ana kombe moja na katika safari ya kuchukua kombe walifungwa na moja kati ya timu mbovu kwenye mashindano husika, na kupoteza lead katika mechi zaidi ya tatu) haya niambie nani ana impact ?
Ukimtaja beki mstaarabu wa Majimaji , ni vema ukamtaja kiungo aliyekwenda shule Octaviani MropeFootball is a Game of Opinions, na kuna wengi wanajaribu kufananisha umahiri wa mchezaji wa kipindi fulani na kipindi kingine; Ingawa ni vigumu na kila mchezaji ana repertoire yake tofauti tofauti ndio maana nikitaka kuwa entertained huenda ningemuangalia Garrincha, Ronaldinho na hata Okocha kuliko hata Messi; ningekuwa natengeneza Timu na nataka clinical finisher huenda nisingemuacha Ronaldo de Lima; LAKINI kuna kuwa na opinion na kuna Kupindisha Data (yaani kutofuata FACTS) hivyo basi ni vema tufanye Dissection ya Messi na Pele
PLAYING POSITION
Messi – Winger / Forward
Kwa aina ya mpira wa sasa na falfalsa ya makocha Messi alianza kama Winger (kama ilivyokuwa kwa kina Henry na Ronaldo) na akawa converted kuwa Forward / Playmaker;
Messi kumfaidi inabidi ujenge timu kwa kutumia strength zake ukimpa mpira anaweza kufungua defence anapenda kwenda kwenye wing na kuingia ndani na mabao yake mengi anayafunga hivyo (ila tukija kwenye taji la playmaker je tunamuhitaji Messi au mtu kama Maestro Andre Pirlo ambaye Pasi yake moja kwa sekunde moja inaweza ikafungua timu ? (Ndio hapo linakuja suala la Greatest of all time Je kina Claude Makalele au Viera na wao tunawaweka wapi)? Unaweza ukasema bila Makalele kwenye ile Galactico (Real Madrid) isingefanya kitu sababu hakuna mkabaji wote ni walikuwa Prima Donnas..., au Toure kwa Barcelona aliwapa kinga / defense ya kufanya wengine waweze kufanya yao...
Pele – Forward
Pele alikuwa Centre Forward anayeshuka mpaka katikati kutafuta na kuchukua mipira au kucheza kama striker wa pili.
PELE STRENGTH Clinical Finisher; Aerial Ability, Physical Strength
Kumbuka kipindi Pele anacheza mwanzoni kulikuwa hakuna Red wala Yellow Card, na faulo za nyuma kilikuwa kitu cha kawaida kwahio kuwapita defender ilihitaji skills na nguvu ya ziada. Pele aliweza kuwapita walinzi kwa urahisi pamoja na yote hayo huku akitumia chenga yake pendwa “dribble da vaca,”
Pele alikuwa ni mtaalamu wa kupiga vichwa, na akicheza kwa flair; ingawa walikuwepo wataalamu wa chenga kumzidi (Garrincha) lakini his eye for goals was second to none at the time
MESSI STRENGTH- Finisher, Vision, Positioning, Dribbler
Messi ana low center of gravity kwahio kumuangusha sio rahisi, na kuwapita walinzi sio kazi kwake ingawa ana bahati ya kucheza kipindi ambacho strikers wanalindwa hivyo kutochezewa rafu bahati ambayo Pele na wenzake walikuwa hawana...
BIASED OPINIONS
Pele alicheza kipindi ambacho hakuna Sheria za Offside hivyo alifunga Magoli Mengi (SI KWELI)
Ukiangalia sheria ya offside imebadilika tokea miaka ya 1800; hapo mwanzo ilikuwa ngumu zaidi sababu ilitakiwa kuwe na walinzi watatu mbele yako kujumlisha na kipa ndio sio offside; ikaja wawili na miaka ya tisini wakaleta rule ya kwamba hata ukiwa marginally na walinzi yaani mbele yako kuna kipa tu upo onside....
Hii kwa ma-striker wa sasa imekuwa rahisi na kwa ma-defender hali imekuwa ngumu..., watu kama Ruud Van Nistelrooy, Anelka, Henry, Andy Cole waliitumia sana hii mtu anakaa na wewe sambamba au anakuwa offside position...., watu kama kina David Beckham wakati wanapiga pasi (instantly) jamaa wanarudi usawa wa defender na kuukimbilia mpira / pasi.., Hivyo sio kweli kwamba Strikers wa sasa wana shida bali defenders wa sasa ndio wana shida...
Ballon d’Ors
Nadhani wanaoleta hii kitu katika maongezi ya Greatest of all Time hawajui hata hii Award inapatikana vipi; na hawajui kwamba Pele sio kwamba hakuweza kucheza Europe bali nchi yake ilimfanya Nyara ya Serikali ili asiweze kuondoka akiwa kwenye Peak... Anyway, waanzilishi wa hii Award wamerudi nyuma na kusema kama Pele angekuwepo kwenye voting basi angekuwa na hizi Award sawa na Messi
France Football claim Pele has same number of Ballon d'Ors as Lionel Messi | SportsJOE.ie
MESSI AND PELE STATS
(Kwenye Assists ni Debatable zamani zilikuwa haziwi recorded – na hizi game ni Official Pele alicheza nyingi zaidi)
Messi
Team Games Goals Assists Ratio PSG 53 23 28 0.43 Barcelona 778 672 269 0.86 Argentina 172 98 53 0.57 Total 1003 793 350 0.79
Pele
Team Games Goals Assists Ratio Santos FC 656 643 277 0.98 Cosmos NY 64 37 23 0.58 Brazil 92 77 43 0.84 Total 812 757 343 0.93
There you have it There is only one King Pele alafu wengine wengi....
Na kwenye mpira kuna entertainers, kuna watu ni clinical kuna watu wana footballing Brain kama Andre Pirlo, kuna kina Glenn Hoddle na hata Bongo tuna kina OCD, Hussein Amani Masha au hata Samli Ayoub (Beki Mstaarabu) - Kipindi kile cha Rafu na Undava undava mtu anamaliza mpira jezi bado safi (alafu ni Beki) - Avumae Papa Baharini ingawa wengi wapo ila bado Papa yupo na Papa ni Pele
List of La Liga top scorers - Wikipedia achana na ubishi mfu na mambo ya Carabao Cup na makombe mengine ya mbuzi ambazo timu nyingine wala hazi-qualify twende kwenye jedwali linalosomeka kwa urahisi na kwa jumla yote ; tuangalie ratio like for like ligi moja na wote kucheza na timu sawa sawa sio cup competition ambazo mwingine ana mechi sita mwingine mbili...Mzee wewe ndio ulianza kuongelea mambo ya pace...
..Haya em sasa tuipotezee hiyo hoja mfu
Nimekuonesha kabisa Tukiachagua Ligi mfano Laliga, Callabao, Messi anamzidi Ronaldo kwenye ratio ya magoli na mechi walizocheza
View attachment 2460299
Keep in mind hatuangalii idadi ya magoli, tunaangalia ratio ya magoli na mechi.
Kipindi yupo spain Ronaldo kamzidi Messi ratio kwenye UEFA tu.
Ndo nkasema kama tunahesabu na ratio ya UEFA ambayo amecheza na timu za england, italy nk. Kwann tusiangalie overral ratio kwenye career yao??
Hata ukisema tuhesabu kila kitu bado Messi anamzidi Ronaldo ratio ya magoli. Hapo Huelewi wapi nikusaidie??
ila hili swala la magoli ambalo ronaldo anamzidi Messi magoli 20 na kamzidi mechi 143
Mwakani hii debate ya magoli tunaifunga rasmiView attachment 2460301
| Rank | Player | Goals | Apps | Ratio | First | Last | Club(s) (goals/apps) | Notes |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 |
| 474 | 520 | 0.91 | 2004 | 2021 | Barcelona | |
| 2 |
| 311 | 292 | 1.07 | 2009 | 2018 | Real Madrid | |
| 3 |
| 251 | 277 | 0.91 | 1940 | 1955 | Athletic Bilbao | |
| 4 |
| 234 | 347 | 0.67 | 1981 | 1994 | Atlético Madrid (54/111), Real Madrid (164/207), Rayo Vallecano (16/29) | |
| 5 |
| 228 | 550 | 0.41 | 1994 | 2010 | Real Madrid | |
| 6 |
| 227 | 329 | 0.69 | 1953 | 1966 | Real Madrid (216/282), Espanyol (11/47) |
Hay sawa, individually Pelle anamzidi nini Messi?pWe utakuwa ume interfere mjadala ila umesahau tu
Hili ni jedwali la ligi gani?List of La Liga top scorers - Wikipedia achana na ubishi mfu na mambo ya Carabao Cup na makombe mengine ya mbuzi ambazo timu nyingine wala hazi-qualify twende kwenye jedwali linalosomeka kwa urahisi na kwa jumla yote ; tuangalie ratio like for like ligi moja na wote kucheza na timu sawa sawa sio cup competition ambazo mwingine ana mechi sita mwingine mbili...
As of matches played on 13 November 2022[5]
- Bold shows players still playing in La Liga.
- Italics show players still playing professional football in other leagues.
Rank Player Goals Apps Ratio First Last Club(s) (goals/apps) Notes 1 Lionel Messi 474 520 0.91 2004 2021 Barcelona 2 Cristiano Ronaldo 311 292 1.07 2009 2018 Real Madrid 3 Telmo Zarra 251 277 0.91 1940 1955 Athletic Bilbao 4 Hugo Sánchez 234 347 0.67 1981 1994 Atlético Madrid (54/111), Real Madrid (164/207), Rayo Vallecano (16/29) 5 Raúl 228 550 0.41 1994 2010 Real Madrid 6 Alfredo Di Stéfano 227 329 0.69 1953 1966 Real Madrid (216/282), Espanyol (11/47)
Wewe una matatizo makubwa si haba..., Brazil alikuwa kwenye Peak kwa kuchukua vikombe ndio na wale wote ambao alikuwa anacheza nao hawakuwa vibonde, kwa nafasi zao ambao pia alikutana nao kwenye ligi za nyumbani na bado Santos kufanya mambo....Umeshasema Brazil ilikuwa kwenye peak hence tunahitimisha kwamba si Pele aliyesababisha Brazil ichukue mara 3 bali ni collective performance ya timu ndiyo ilisababisha timu kubeba kombe hili mara 3
Tafuta historia ya Kombe la dunia 1958 na 1970 google tu wala usihofu; Maradona 1986 alifanya mambo sawa ila ilichangiwa na Games kuwa televised world wide hence watu wengi kuangalia na kwa kuwafunga England na Media zao hence more promotion.... bila kusahau Hand of God na kwamba Diego ni a Character (machachari)Rekodi za FIFA wenyewe zinasema , Maradona ndiye aliyeweka Individual performance kubwa zaidi kuchukua kombe katika kombe la dunia.
Again kabla ya kujibu fanya research ni kwamba 1958 kina Pele kwanza akiwa African, na pili Bwana mdogo game mbili za mwanzo hakucheza Kocha akawa-convinced na kocha mwingine game linalofuata aanze na kina Pele (yaani hatua za makundi) Pele alivyingia game ya tatu / Sio Robo !!! Game ya Tatu akatoa pande la goli, Mechi iliyofuata akafunga only goal yaani in short bila Pele hata makundi wasingetoboa.... kwahio kwa point yako hapo juu inaonyesha hata Data hauna na ungekuwa nazo huenda tusingepotezeana muda mpaka sasaHuyu Pele alibebwa zaidi na ubora wa timu ya Brazil ndiyo maana kuna sehemu wewe mwenyewe umesema alimiss mechi tatu akarudi mechi ya robo fainal Brazil wakachukua kombe hii inamaanisha makundi Brazil walipigana bila Pele wakatoboa , wakaja 16 bora wakatoboa bila Pele sasa utasema Pele kawa bora kwenye lipi hasa? Maana timu ingekuwa mbovu hata kwenye makundi ingetolewa na yeye angekosa kombe husika.
Aisee againa fanya research alicheza mechi ya kwanza na kufunga bao na kuwa-incenerate Mexico hio ni 1962 baada ya 1958 kufanya mambo na timu walivyoona hivyo kiatu kikatembezwa mechi ya pili akaumizwa sasa asichukue kombe lile goli dhidi ya Mexico ulifunga wewe ? kuna watu wanachukua Kombe hawajafunga game hata moja au utasema De Maria asipewe medali wakati ni kazi yake nzuri ndio ilifanya Argentina mpaka half time wawe mbele ?Kuna mwaka umesema aliumia hakucheza hadi fainali alicheza one game tu akaumizwa akawa sidelined na bado Brazil wakachukua kombe yeye akavaa medali ambayo wenzake ndo waliipigania.Hapo utasema Pele ndo kaipa Brazil kombe kisa alikuwa sehemu ya timu ya Brazil japo alikuwa nje kwa majeraha?
Rudia kufuata History 1966 Pele bado alikuwa kwenye Peak na kwa timu kujua hilo Bulgaria na Portugal walimpiga kiatu hadi akashindwa kuendelea game la pili na bila hivyo Brazil wangechukua hii ndoo tena na Pele angekuwa na ndoo nne...Tukubali he played a strong side by then ambacho kilikuwa kinawezakuchukua kombe bila yeye na kilifanya hivyo kirahisi kabisa.Tunachotaka ni individual brilliance ya Pele dhidi ya Messi ni ipi na ya kipengele kipi?
Wewe una matatizo makubwa si haba..., Brazil alikuwa kwenye Peak kwa kuchukua vikombe ndio na wale wote ambao alikuwa anacheza nao hawakuwa vibonde, kwa nafasi zao ambao pia alikutana nao kwenye ligi za nyumbani na bado Santos kufanya mambo....
Unasema Pele hakufanya nini ? Kafuatilia 1958 alifanya nini; 62 alicheza game mbili sababu walijua kinara ni nani na katika mbili moja alifunga; kafuatilia 1966 kwanini Brazil hata haikuvuka makundi na Pele alifanywa nini ?, Kafuatilia 1970 alivyorudi alifanya nini hizo ni world cup za kufuatana..., alafu kacheki Messi amecheza World Cup ngapi na amefanya nini na hizo world cup alikuwa na kina nani (yaani benchi la argentina tu ungeweza kuzipa timu za Afrika na hata kuwakopa England strikers kadhaa) na bado chenji ikabaki kina Saviola, Tevez, De Maria; Juan Riqueleme wote ni Wa-Argentina ujue...
Tafuta historia ya Kombe la dunia 1958 na 1970 google tu wala usihofu; Maradona 1986 alifanya mambo sawa ila ilichangiwa na Games kuwa televised world wide hence watu wengi kuangalia na kwa kuwafunga England na Media zao hence more promotion.... bila kusahau Hand of God na kwamba Diego ni a Character (machachari)
Again kabla ya kujibu fanya research ni kwamba 1958 kina Pele kwanza akiwa African, na pili Bwana mdogo game mbili za mwanzo hakucheza Kocha akawa-convinced na kocha mwingine game linalofuata aanze na kina Pele (yaani hatua za makundi) Pele alivyingia game ya tatu / Sio Robo !!! Game ya Tatu akatoa pande la goli, Mechi iliyofuata akafunga only goal yaani in short bila Pele hata makundi wasingetoboa.... kwahio kwa point yako hapo juu inaonyesha hata Data hauna na ungekuwa nazo huenda tusingepotezeana muda mpaka sasa
Aisee againa fanya research alicheza mechi ya kwanza na kufunga bao na kuwa-incenerate Mexico hio ni 1962 baada ya 1958 kufanya mambo na timu walivyoona hivyo kiatu kikatembezwa mechi ya pili akaumizwa sasa asichukue kombe lile goli dhidi ya Mexico ulifunga wewe ? kuna watu wanachukua Kombe hawajafunga game hata moja au utasema De Maria asipewe medali wakati ni kazi yake nzuri ndio ilifanya Argentina mpaka half time wawe mbele ?
Rudia kufuata History 1966 Pele bado alikuwa kwenye Peak na kwa timu kujua hilo Bulgaria na Portugal walimpiga kiatu hadi akashindwa kuendelea game la pili na bila hivyo Brazil wangechukua hii ndoo tena na Pele angekuwa na ndoo nne...
Individual Brilliance ? Fuatilia what happened 1958, 1966 na 1970..., au ni wewe ndio ulikuwa kijana mdogo kuliko wote mpaka sasa kufunga bao Kombe la Dunia ? Yaani Sweden walikuwa kwao na Ubaguzi wao walishindwa hadi kuanza kumshabikia Pele ingawa ni Timu Pinzani..., Yaani hadi King akashuka na kumpa mkono..., kuwa kwake Global Brand hadi Cosmos wakambembeleza aende kutangaza Soccer; Bila yeye huenda Joao Havelenge asingekuwa Fifa President na mpaka leo Europe ingekuwa na Timu zote sisi huku mabara mengine tuna timu za kuokoteleza...
Dogo acha kuleta masihara....
Hili jedwali la ligi gani?List of La Liga top scorers - Wikipedia achana na ubishi mfu na mambo ya Carabao Cup na makombe mengine ya mbuzi ambazo timu nyingine wala hazi-qualify twende kwenye jedwali linalosomeka kwa urahisi na kwa jumla yote ; tuangalie ratio like for like ligi moja na wote kucheza na timu sawa sawa sio cup competition ambazo mwingine ana mechi sita mwingine mbili...
As of matches played on 13 November 2022[5]
- Bold shows players still playing in La Liga.
- Italics show players still playing professional football in other leagues.
Rank Player Goals Apps Ratio First Last Club(s) (goals/apps) Notes 1 Lionel Messi 474 520 0.91 2004 2021 Barcelona 2 Cristiano Ronaldo 311 292 1.07 2009 2018 Real Madrid 3 Telmo Zarra 251 277 0.91 1940 1955 Athletic Bilbao 4 Hugo Sánchez 234 347 0.67 1981 1994 Atlético Madrid (54/111), Real Madrid (164/207), Rayo Vallecano (16/29) 5 Raúl 228 550 0.41 1994 2010 Real Madrid 6 Alfredo Di Stéfano 227 329 0.69 1953 1966 Real Madrid (216/282), Espanyol (11/47)
Ha ha haaa ila zamani tulikuwa na wadau wenye majina tofauti tofauti...Ukimtaja beki mstaarabu wa Majimaji , ni vema ukamtaja kiungo aliyekwenda shule Octaviani Mrope
Umeandika kama mwanamichezo.mzoefu hongeraKwanza sisi kama mashabiki wa Lionel messi tunashukuru kuwaona debate sio kwa ndugu yetu CR7 Bali kwa Pele
Honesty speaking, hata kabla messi haja win world cup nilikuwa sifungamani na siasa za wengi inayodai ili mtu awe GOAT basi awe ameshinda world cup....abadani sifungamani na hii dhana
Huwezi kuniambia kuwa CR7 sio GOAT eti kwasababu hana world cup hali ya kuwa ni mfungaji bora wa muda wote ureno kadhalika uefa....sijui nani aliweka hizo standards eti mchezaji kuwa GOAT lazima awe na world cup
World cup yenye mechi 7????? Tena world cup karibia team zote zinazoshinda huwa zinabebwa na ubora wa kikosi kuachana na ubora wa mchezaji mmoja....sote twajua Brazil karibia miaka yote huwa ina kikosi cha kushinda world cup tofauti na Ronaldo kikosi hakikuwahi kumfeva labda kidogo cha mwaka huu
Kwani hao walioweka hizo standards walisema GOAT ni lazima awe mmoja???
Mi naona wanakomalia Pele na maradona ili vizazi hivyo vya zamani vionekane ndio vilikuwa bora zaidi na havitatokea tena
Nakuambia hata ikitokea mbape akishinda world cup nyingine mbili ili ziwe tatu bado watatafuta sababu nyingine ili ionekane Pele anakaa pale juu ila Mimi kwa mdudu messi huniambii siasa za kichovu hizo eti ana world cup tatu so what???
Ronaldo kachukua back to back uefa tatu ambacho ni kitu ambacho kwa zama hizi itaondoka miaka mingi sana katika hii dunia hakijafanywa kitu kama iko na ikumbukwe hakijawahi fanywa kitu kama iko lakini bado sio lenye kuongelewa sana kama world cup tatu za Pele
Sema lakini Pele hajacheza ulaya wala kwenye michuano mikubwa kama uefa ambayo ukiondoa mvuto wa world cup hakuna michuano migumu kama uefa utaletewa dalili nyingi kweli kweli ooh Mara taifa lake lilikataa Mara ooh lakini ndio ishapita hivyo kuwa hajakiwasha uefa huyo pele, hajacheza katika zile league ambazo zina mvuto zaidi duniani hata mje na sababu mia ila ndo hajacheza tayari, na pia hiyo world cup ya tatu aliumia group stage ila still Brazil akashinda this reflects kuwa legend Pele alikuwa akicheza na watu ambao pia walikuwa wazuri sana acheni propaganda wewe
Nihitimishe, nani ni GOAT ni kila kundi litaona flani ni GOAT wao kutokana na record za mchezaji wao wanaziona wao
For me
Messi-GOAT
Pele-GOAT
Ronaldo-GOAT
Maradona-GOAT
mbape upcoming GOAT
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Naam na ungesoma Post ya mwanzo ndio maana nimeleta hii Post; Hii Post ni ya kuchuja Pumba na Mchele; yaani kupunguza kuondoa achievements za mwingine ili ku-justify mambo mengine kwahio kama mchambuzi wa Mpira uangalie vitu kwa jicho la kichambuziKwanza sisi kama mashabiki wa Lionel messi tunashukuru kuwaona debate sio kwa ndugu yetu CR7 Bali kwa Pele
Honesty speaking, hata kabla messi haja win world cup nilikuwa sifungamani na siasa za wengi inayodai ili mtu awe GOAT basi awe ameshinda world cup....abadani sifungamani na hii dhana
Okay hapo hapo Laliga tuangalie stats za ile misimu ambazo wote walikuwepo yani 2009-2017La Liga Pure League timu zote sawa, ligi sio kuongezea ligi za mbuzi n.k.
Kwamba tusichukue ligi aliyocheza kipindi Chote na Ronaldo ligi aliyocheza kipindi chote Yaani La Liga ile ile Top Scorers of all time Bali tuchague baadhi ya seasons ?Okay hapo hapo Laliga tuangalie stats za ile misimu ambazo wote walikuwepo yani 2009-2017
Maana ukiangalia Overrall kuna kipindi Messi alicheza Laliga kabla ya ronaldo kuja, mabeki walikuwa walewale???
Kwahyo fair comparison tuangalie kipindi kile kile wako pamoja yani ile misimu kuanzia ronaldo aje Laliga hadi anaondoka.
Tunafikia hapaView attachment 2460718
So hapo inahitaji ubishi tena??
Yani umetoka mtoni halafu ukaja kwenye swimming pool ukashindanishwa na mtu anayeogelea kwenye pool kila siku.Kwamba tusichukue ligi aliyocheza kipindi Chote na Ronaldo ligi aliyocheza kipindi chote Yaani La Liga ile ile Top Scorers of all time Bali tuchague baadhi ya seasons ?
Uoni tutakuwa hatuwatendei haki kina Telmo Zarra ratio (.91) kama Messi; na Isidro Langara (1.17) au unadhani Ligi ilianza baada ya ujio wa Messi na Ronaldo ?
Yaani kama wewe hodari wa kuogelea kwenye swimming pool tuangalie wengine ambao wameogelea kwenye hio swimming pool au walioogelea mtoni ila wakaja kwenye swimming pool tuone walifanyaje kwenye hio pool ili kuona ugumu wa hio pool
Okay kama unataka kuangalia hivyo its your prelogative...Yani umetoka mtoni halafu ukaja kwenye swimming pool ukashindanishwa na mtu anayeogelea kwenye pool kila siku.
Tukitaka kuwalinganisha Tutalinganisha hiyo siku mlipokutana kwenye swimming nani alikuwa zaidi.
Hatutaanza kuangalia sijui jana au juzi yake yule wa pool alifanyaje.