JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,809
- 14,155
Hapa kwetu kila mtu muongo,janja janja nyingi,Raisi muongo,yeye na ccm yake wanachanganyikiwa wakiona watu wengine Wana maoni mbadala kuhusu corona,kila siku madudu,utumishi wa umma,unaita watu 9000!kwenye nafasi zisizo zidi 100!wanataka tuamini kwmaba wanatenda haki,kumbe ni kichaka Cha kupiga pesaHapa kwetu tunaendelea kupambana na ^magaidi^ kwanza, then tukiwa salama, milango itakuwa wazi tu hivi karibuni!