Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,228
- 17,443
Anachezeshwa na kina Xavi akiwa barca ... ndo maana timu taifa hamna kitu ......
Messi ni misnomer!!!! MESSI NI NOMA
Anachezeshwa na kina Xavi akiwa barca ... ndo maana timu taifa hamna kitu ......
mi nadhani ni system ya uchezaji kwa timu ya Barca ndio inamfanya mesi an'gae hivyo, huwa mnaona jinsi anavyofichwa akiwa timu ya taifa....so ni mzuri kiukweli ila kuna mazingira ndio yanamfanya aonekane ni mzuri kuliko kawaida.
Hata Xavi naye huwa anachezeshwa na Messi na ndo maana Messi ana goal assists nyingi kuliko Xavi. Hata akicheza katika kikosi ambacho XavIniesta hajaanza huwa anafanya mambo pia, so mkubali tu hutapungukiwa na kitu chochote.Anachezeshwa na kina Xavi akiwa barca ... ndo maana timu taifa hamna kitu ......