Labda nikuulize mdoa mada, ni Dous ipi manake ziko nyingi, Dous pocket, S duos, Neo Duos n.k
Ila kwa ninavyojua mimi simu nyingi za bajeti (budget phones) zina low internal memory,
mfano Samsung Galaxy Y Duos ina 160 MB as internal memory, hii haitoshi kuinstall apps nyingi.
Fanya hivi:
1. Jaribu ku-clear CASHE MEMORY, BROWSER SEARCH HISTORY na COOKIES ya zile apps unazotumiia mara kwa mara, hii itasaidia kupunguza nafasi kwenye internal memory.
2. Kuna apps zinakubali kuwa installed kwenye SD Card, jaribu kuzihamisha pia, utapata angalau nafasi...
Wengine watatatoa options zingine.