Gaddafi alikuwa wapi wakati Mandela ananyanyaswa na makaburu, au wakati Kaunda ananyanyaswa na kina Chiluba? Gaddafi huyo kafadhili vikundi vingi vya kigaidi na kubank roll maasi kwenye baadhi ya nchi za Afrika leo kimemgeukia yeye anataka msaada? Bila aibu hivi hivi?Why Afrikan brothers dont speak for him? Where is Mandela, Mugabe, Kaunda and other revolutionary people in Africa!!!! Today is Ghadafi and who next.....
Am touched with the word of this true son of Africa....... Jesus will help him.
Kuna vitu vingine hakusema hapa ambavyo ni points: he launched the first satelite ambayo ilifungua mtandao wa sim kwa africa nzima. kama leo tunatumia sim ya mkononi ni yeye. pia alijenga miskiti na ma hospitali karibu nchi zote za kiafrika. hiyo tunakubali. na aliwasaidia sana wana libya katika vile vitu alitoa bure. Mwisho kabisa nadhani interference ya nchi za nje haikutakiw kua yenye violence, just talks, discussions, na sanctions zingine kama ambargos etc. na hivyo hawakujaribu hata, walimrukia moja kwa moja na visu. Hakusema pia kama kuna interest ya kumiliki the largest african petrol reserve. Hiyo ni kweli
However, tujiulize: Hivi kuwapa watu material goods for free but uwanyime freedom os speech, freedom to chose their representatives, freedom to gather and celebrate or discuss on whatever they want? hamna freedom hapo. aliwatreat wana wa Libya kama watoto. Kweli Libya imebarikiwa na Mungu na pato la serikali lilikua kubwa, lenye kuruhusu hivyo vitu vitolewe bure lakini tutajuaje hilo pato ni la ngapi jumla bila kushirikishwa, huenda kuna vitu vingi zaidi vingeweza kufanywa na hizo hela ambazo zinaaminika kugeuzwa mishahara ya president na wanae? :A S 39:
All in all Ghadafi was a king and does not deserve thjis treatment but na yeye kajitafutia sababu hakuwashirikisha watu na alifanya kiburi wakati alitakiwa kusikiliza umati.
alijenga misikit mingi kuliko mambo mengine-Kuna vitu vingine hakusema hapa ambavyo ni points: he launched the first satelite ambayo ilifungua mtandao wa sim kwa africa nzima. kama leo tunatumia sim ya mkononi ni yeye. pia alijenga miskiti na ma hospitali karibu nchi zote za kiafrika. hiyo tunakubali. na aliwasaidia sana wana libya katika vile vitu alitoa bure. Mwisho kabisa nadhani interference ya nchi za nje haikutakiw kua yenye violence, just talks, discussions, na sanctions zingine kama ambargos etc. na hivyo hawakujaribu hata, walimrukia moja kwa moja na visu. Hakusema pia kama kuna interest ya kumiliki the largest african petrol reserve. Hiyo ni kweli
However, tujiulize: Hivi kuwapa watu material goods for free but uwanyime freedom os speech, freedom to chose their representatives, freedom to gather and celebrate or discuss on whatever they want? hamna freedom hapo. aliwatreat wana wa Libya kama watoto. Kweli Libya imebarikiwa na Mungu na pato la serikali lilikua kubwa, lenye kuruhusu hivyo vitu vitolewe bure lakini tutajuaje hilo pato ni la ngapi jumla bila kushirikishwa, huenda kuna vitu vingi zaidi vingeweza kufanywa na hizo hela ambazo zinaaminika kugeuzwa mishahara ya president na wanae? :A S 39:
All in all Ghadafi was a king and does not deserve thjis treatment but na yeye kajitafutia sababu hakuwashirikisha watu na alifanya kiburi wakati alitakiwa kusikiliza umati.
Uko sahihi Abdulhalm, kuwapa wananchi vitu bure, ambovyo actually siyo vyake yeye kama anavyotaka tuamini hivyo, wakati huku akifanya familia yake ndiyo watawala wa nchi ya Libya ni kosa lake kubwa sana. Kuwanyima watu uhuru wa kuongea, kuwaita wenye mawazo tofauti na yeye kuwa ni vibaraka wa nchi za ulaya na USA, kuwatusi kwa kila aina ya matusi anayo yajua siyo halali yake.
Kumpindua mfalme wa nchi hiyo na yeye kutaka kuongoza kama mfale mpaka afe na kumkabidhi mmoja wa watoto wake uongozi wa nchi ni dharau kwa wananchi wengine wote wa Libya. Alikwa na opportunity kwa miaka kadhaa ya kubadirisha style ya uongozi wake kutoka huu wa kiimla na kuleta uongozi shirikishi/kidemokrasia lakini ameeishia kulewa madaraka na kujiita The King of Kings.
Awe tayari kuvuna aliyopanda
where is AU????
TZ needs crazier leader than him... He is a real mwanamapinduzi..I feel him but still, he is crazy!
acha kukurupuka dogo tulia kabla hujatuma post huku jf [/QUOT
Join Date : 28th April 2011
Posts : 1
Thanks0 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
Karibu JF, kwa post hii ya kwanza ilivyokaa, si haba karibu sana
I am not saying what the westerners are doing is good. Of course its not but that does not justify what this psychopath is doing. He overstayed yes, but now his people wants him out, and instead of leaving he started shooting them? If Ghadafi love his people so much why did he kill them when they started protesting against his administration? He is a mass murderer!!! He has been into power for so long and I think that affects his judgment. Somebody who has been president for over 40 years and still wants to continue must have psychological problems. Are you telling me the whole of Libya doesnt have people who can be presidents?
OMFG!! Hapo kwenye nyekundu Are you F-----n serious?Wabaya wanasingizia umetawala kwa miaka 40 unastahili kuondoka,mbona Malkia wa UK ametawala miaka 53 na habadilishwi?
View attachment 28375
Frantz Fanon July 20, 1925 – December 6, 1961
Nyie wote mnaompigia debe Gaddafi mmechelewa, treni limeshapita!
Kuelekea huko linakokwenda. Mkuu, huu ni usemi tu nikimaanisha kama wahenga walivyosema, maji yakimwagika hayazoeleki.Mkuu, hilo treni lako limeshapita kuelekea wapi??
Simple logic, if 'Gadaffi is hero to his people', why then is there an uprising/rebellion in Libya? Because of NATO, oil etc, huh?...GADAFFI IS HERO TO HIS PEOPLE,...