Habari,, nauliza hivi kuna uwezekano wa mtu aliyeko call centre kusoma meseji zako unazotumiwa na mtu mwingine au kusikiliza maongezi,,na pia kuna uwezekano wa mtu kujua full namba ya mtu aliyekutumia hzo meseji? au atafahamu baadhi ya tarakimu zilizopo kwenye hyo namba inayokutumia mesej