Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
kwa haraka haraka tu mtu makini anatambua kabisa hata uunganishe vipi hizi meseji hamna kesi yeyote ya mambo ya rushwa hapa
......... Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni ya kufua
umeme ya Richmond, Edward Lowassa.........
kwa haraka haraka tu mtu makini anatambua kabisa hata uunganishe vipi hizi meseji hamna kesi yeyote ya mambo ya rushwa hapa
huna akili..umetumwa na magamba nn, mbona ushaidi uko wazi
Raia Mwema wamekaribisha waandishi flani ambao nao watakuwa upande wako tu endapo utawamegea fungu am saying this kwa sababu tangu Raia Mwema wamchukue mtu anayeitwa Paul Sarawat huku Arusha gazeti limekuwa frampy' Sarawat anafahamika vyema toka akiwa Nipashe wanaharibu sifa za gazeti story ndeeeeeeefu ila kila unapojaribu kuunganisha hamna jibu anyway tuwaachie TAKUKURU wafanye kazi yao mwisho tutajua.
Mbona husemi vigazeti uchwara kama Mwanahalisi.........Raia mwema wako objective na makala zilizoenda shuleGazeti la Raia Mwema limefilisika, linaandika mabaya ya upande mmoja na mazuri ya upande mwingine, last week walikuwa wanastory nzuri kuhusu serikali, halafu picha wakaweka ya Sitta wakati hakukuwa na link yoyote kati ya Sitta na hiyo story, nikajua limegeuka Propaganda mashine ya Sitta na Genge lake, Ulimwengu should think again!
Mbona husemi vigazeti uchwara kama Mwanahalisi.........Raia mwema wako objective na makala zilizoenda shule