kwa bei hiyo hata Nissan March ya 2001 used hapa bongo haumvui mtu.
labda liwe ngarangara,sembuse Mercedes Benz! nenda kajipange mkuu.
utakuja kulibeba mwenyewe nikuelekeze gereji?
Du kwa bei hio si utapata skrepaz!
We Mchaga bro???
Unauliza kabila ? Mi ni Mtanzania
hahahaaa yani tukishauziana tunakuwa maadui pale pale, kwa kweli siko tayari tutengeneza adui hata mmoja. Najitahidi kutengeza angalau rafiki mmoja kila siku.mi ninayo nauza 2 milion ila tukishauziana staki mawasiliano yyt nawewe.