Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
wale wataalam wa meno me nnashida moja tuu pindi nilvyokuwa na umri wa miaka 10 kwenda chini nilikuwa nasugua meno kwa whitedent nayalikua yang'aa meupeeeee mhh ila sasa hv meno yangu najitahid kusugua zaid ya mara3 kwa siku lakin hayai km nnavyota natumia whitedent miaka yote naomba mniambie meno yangu sio mabaya ila ukiyaangalia kwa karibu sana unaweza ukagundua kwamba yamefubaa kidogoooooo.......nini nfafanye ili yameremete