mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,294
- 345
Huyu mtu sielewi kabisa kazi yake, maana kila wiki lazima umeme ukatike katika wilaya hii.
Hakuna wiki hata moja iliyoachwa umeme ndani ya siku 1 au 2.
Ninavyoongea leo siku ya tatu umeme haupo. Hivi hii ndio Tanzania ya viwanda au mna fanya majaribio ya kuwa na midomo majukwaani.
"Tanzania ya viwanda wakati umeme wiki haupo" na bado unaitwa meneja. Sielewi!
Hakuna wiki hata moja iliyoachwa umeme ndani ya siku 1 au 2.
Ninavyoongea leo siku ya tatu umeme haupo. Hivi hii ndio Tanzania ya viwanda au mna fanya majaribio ya kuwa na midomo majukwaani.
"Tanzania ya viwanda wakati umeme wiki haupo" na bado unaitwa meneja. Sielewi!