Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Salamu wanajamvi.
Membe,sitta na Lowasa wamekuwa wakitumia misikiti na makanisa kutoa harambee ili uchaguzi wa 2015 waje kuungwa mkono maana kila mmoja anania ya kugombea nafasi ya juu kabisa ya taifa hili.
Nasema wataligawa taifa kwa misingi ya kidini,iwapo kati ya mmoja atashinda kiti cha urais japo sina uhakika na imani na yeyote.Kuna kundi fulani litaibuka na kuhoji mwenendo wa mgombea kabla ya kuwa rais,huu ni mwendelezo wa yaleyale ya mwaka 2010 kwa Jk kutoa ahadi ya kuruhusu mahakama ya kadhi wakati katiba ya nchi hairuhusu matokeo yake ndio haya ya udini nk.
Hawa watu wataligawa taifa kwa misingi ya dini,kuna kundi litaibuka na kunena juu ya mshindi mmojawapo kati ya hawa either of the two between muslims or christians. Ni mwendelezo ule ule wa makundi katika chama katika misingi ya dini,kibaya zaidi haya ni makundi yanayokinzana..najua kila moja litamtupia mwenzake lawama au kashifa yoyote ili kummaliza kisiasa.
Taifa hili,limekuwa ni familia/kupeana vyeo kwa misingi ya urafiki,kila mtu anafanya analotaka as if hakuna katiba ya nchi.Iwapo kati ya Membe/ Lowasa/Sitta atakuwa rais taifa hili hakika linaingia katika hali mbaya zaidi ya hali ilivyo sasa.
Nawaomba watz wenzangu wenye mapenzi mema na taifa hili watu hawa ni hatari sana kwa amani ya nchi yetu,japo hadi sasa amani hakuna ila kuna utulivu na uoga,tusiwaunge mkono kwenye mkono hata kidogo.
Membe,sitta na Lowasa wamekuwa wakitumia misikiti na makanisa kutoa harambee ili uchaguzi wa 2015 waje kuungwa mkono maana kila mmoja anania ya kugombea nafasi ya juu kabisa ya taifa hili.
Nasema wataligawa taifa kwa misingi ya kidini,iwapo kati ya mmoja atashinda kiti cha urais japo sina uhakika na imani na yeyote.Kuna kundi fulani litaibuka na kuhoji mwenendo wa mgombea kabla ya kuwa rais,huu ni mwendelezo wa yaleyale ya mwaka 2010 kwa Jk kutoa ahadi ya kuruhusu mahakama ya kadhi wakati katiba ya nchi hairuhusu matokeo yake ndio haya ya udini nk.
Hawa watu wataligawa taifa kwa misingi ya dini,kuna kundi litaibuka na kunena juu ya mshindi mmojawapo kati ya hawa either of the two between muslims or christians. Ni mwendelezo ule ule wa makundi katika chama katika misingi ya dini,kibaya zaidi haya ni makundi yanayokinzana..najua kila moja litamtupia mwenzake lawama au kashifa yoyote ili kummaliza kisiasa.
Taifa hili,limekuwa ni familia/kupeana vyeo kwa misingi ya urafiki,kila mtu anafanya analotaka as if hakuna katiba ya nchi.Iwapo kati ya Membe/ Lowasa/Sitta atakuwa rais taifa hili hakika linaingia katika hali mbaya zaidi ya hali ilivyo sasa.
Nawaomba watz wenzangu wenye mapenzi mema na taifa hili watu hawa ni hatari sana kwa amani ya nchi yetu,japo hadi sasa amani hakuna ila kuna utulivu na uoga,tusiwaunge mkono kwenye mkono hata kidogo.