Membe akalia kuti kavu CCM

Si unakumbuka kilichomkuta kolimba? Sijui umri wako ndugu, lakini mtu yoyote over 40 lazima atalijuwa hili. CCM siyo watu wa spoti spoti.

Hahah wakimuamulia Membe aisee ni dakika tu wamemaliza kazi,utaanza kusikia tu pengo lake halizibiki sijui nini.
 
Huyo atoki Leo wala kesho anaogopa mtaani keshaharibu ataishije
 
Hawa watu wa ccm wanakuwa na nguvu tu wanapokuwa huko huko ccm lkn wakitoka tu ndio end of the game to them. Tumeona kwa wengi.

Ile dhana ya kuwa upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm mimi sikubaliani nayo kabisa kwani naona hawa wanaotoka ccm kuja upinzani ndio wanaoudhoofisha upinzani. Siku wapinzani watakapogundua hili hawatabaki hapa walipo tena.
 
🤣🤣 chama si cha demokrasia na hicho kwan mwanachama akiwa na qualification za kugombea uraisi si anaruhusiwa mbna wana hamaki namna hiyo?
 
Uoga tu.
Hapo kosa la Membe ni nini?
Kukaa kimya au tuhuma za Musiba?
Musiba ni kiongozi au ndiye "kikao" cha CCM?
Madhara ya kumfukuza Membe uanachama yatakuwa makubwa sana.
 
Kweli aisee na wasije huku wabaki huko huko.
 
Nimeongea sana nasubiri jumba libomoke na watu wagawane mpaka misumari maana magufuri fikra yake anadhani wale anaokaa nao kwenye vikao ni wenzie
 
Hivi ? Ni lini Membe alitamka atagombea ? Mnamuogopa wakati hajasema kitu. Akisema je ? Hebu Bashiru ajifanye kama anajikuna aone mambo ya Membe. Ajifanye tu kama anajikuna
Hahah.. Unataka atamke wazi?
 
Hivi ? Ni lini Membe alitamka atagombea ? Mnamuogopa wakati hajasema kitu. Akisema je ? Hebu Bashiru ajifanye kama anajikuna aone mambo ya Membe. Ajifanye tu kama anajikuna
Hahah.. Unataka atamke wazi?
 
Unapokosa mpangilio wa mambo mara nyingi humplekea mtu kujikwaa mara kwa mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…