Acha waparuane wenyewe ila hilo likifanikiwa basi Ccm wajiue tu jina limebadilika kutoka Chama Cha Mapinduzi = Chama Cha Magufuli.
Na kumng'oa nduli hapo magogoni iwe kwa kikatiba au kinguvu itawawia vigumu.
Pia upinzani wa majukwaa ya kisiasa i.e CDM/ACT ndiyo utakuwa kwishnehi (japo upinzani upo mioyoni) ila hakuna atakayethubutu kunyanyua mdomo.
Mi naona turufu ya wanaccm kuonesha kuwa chama kina nguvu ni kuzuia na kupinga dhuruma itakayofanyika hapo unless they are all finished na hakuna atakayekuwa salama.