nakuaminigi kote ila hapa nakukataa. mbona unaichukulia poa Ukraine?Wamepigwa na ndege ya NATO
nakuaminigi kote ila hapa nakukataa. mbona unaichukulia poa Ukraine?Wamepigwa na ndege ya NATO
Vita hizo alipigana na nani?? Je, kulikuwepo na upelekwaji wa siraha na wataalamu wa kijishi kama anavyosaidiwa Ukraine?? Yote kwa yote, Russia will complete his operation na ndipo hapo mtakapo kuja kutambua mkubwa ni mkubwa tu. Kubwa lenu USA anajitahidi kwa nguvu kubwa sana kulazimisha dunia yote hiwe against Russia lakini anagonga mwamba. Endeleeni tu kupiga kelele lakini huko Ukraine kila siku watu maelfu kwa maelfu wanakimbia nchi kila siku.Mbona tumeona meli za kimarekani zinashiriki vita nyingi lakini hakuna iliyozamishwa?
Warusi wa buza mmepanicPro Ukraine, mnajifurahasha tu, nchi ya Ukraine sasa ni magofu tupu.
Achana nae, alikuwa hajui anatetea nini.Ndio hiyo Meli ilikua na mfumo WA S-300 Surface to air missile.
Hakuna meli isiyokuwa na mifumo hii, huyo jamaa alikuwa anabisha basi tu.Hata destroyer za Marekani zina mifumo ya kuzuia attacks
Watu washakula kiapo kuwa huu utawala hautaangushwa. Achana na mzungu akiamua jambo lake.Us wametoa pesa sana kwa makampuni yake ya silaha kwaajili ya ukrain na nchi zilizo chini Ya NATO
Mambo ya Meli mwulize baharia Let mutuz. He is well informed on that. Hata quotations za Meli kama hizo anazo.Hivi meli kama hiyo inaweza ikawa inauzwa sh ngapi na mrusi hizo meli anazo ngapi
Kwa sababu haiwezeka mrusi akaicha meli kubwa hiyo ikalipuliwa kizembe hivyo.
Ziko pia comment humu mkuu putin angeziona pia angejua namna gani wabongo hawamchukulii poa.Hii hata putin angeiona angejua ni namna gani wabongo mnamchukulia poa
Le mobimba Nye Nye Nye you knowMambo ya Meli mwulize baharia Let mutuz. He is well informed on that. Hata quotations za Meli kama hizo anazo.
Kwa nchi gani na zenye uwezo upi?Mbona tumeona meli za kimarekani zinashiriki vita nyingi lakini hakuna iliyozamishwa?
Mm nilikuwa nakurekebisha ww hapo.Kwa hiyo Russia hakulijua hilo kuwa kuna low flying missile?
Niliwahi kusema humu kuwa, hii tabia ya Zele kuomba misaada na watu kumpinga Urusi ni hali ya kujionesha kama yeye ni mnyonge, ili hata Russia naye amchukulie hivyo, na kweli Russia akaingia mkenge, akawa anapeleka majeshi yake kwa wingi na akapeleka mpaka meli yake bora kabisa ya kisasa ya vita, mwisho wa siku zinarudi maiti na upotevu wa vifaa.Warusi watanganyika mbona siwaoni wamejificha wapi kwani?
kuna jamaa alisema vile vidude vya kinyamwezMleta mada kama hautajali tuwekee na ule uzi ulokuwa unasema UK yaisaidia Ukraine Anti Ship Missiles.
Kwenye hii vita nimeanza kumuelewa UK, alipeleka Javelin, akaua misafara yote ya vifaru na magari ya Russia, sasa anazamisha meli.
Teh teh teh kwa hiyo dhumuni la hiyo vita ni kuhamisha watu maelfu kwa maelfu?Vita hizo alipigana na nani?? Je, kulikuwepo na upelekwaji wa siraha na wataalamu wa kijishi kama anavyosaidiwa Ukraine?? Yote kwa yote, Russia will complete his operation na ndipo hapo mtakapo kuja kutambua mkubwa ni mkubwa tu. Kubwa lenu USA anajitahidi kwa nguvu kubwa sana kulazimisha dunia yote hiwe against Russia lakini anagonga mwamba. Endeleeni tu kupiga kelele lakini huko Ukraine kila siku watu maelfu kwa maelfu wanakimbia nchi kila siku.
duh ww ndo kilanja humuTuonyeshe Ni wapi ulipinga uvamizi wa US kwa mataifa mengine.
Zele naona kaamua kuwa kambale! Putin ndevu na yeye Zele kaota ndevu anashindana na Babu yake....Putin haamini anachokiona,najaribu kuimagine vile anaona taarifa meli yake inateketekea sijui alikunywa mi Vodka mingapi kwa uchungu!Niliwahi kusema humu kuwa, hii tabia ya Zele kuomba misaada na watu kumpinga Urusi ni hali ya kujionesha kama yeye ni mnyonge, ili hata Russia naye amchukulie hivyo, na kweli Russia akaingia mkenge, akawa anapeleka majeshi yake kwa wingi na akapeleka mpaka meli yake bora kabisa ya kisasa ya vita, mwisho wa siku zinarudi maiti na upotevu wa vifaa.
Bado nafikiria mrusi huyuhuyu angeingia vitani na mfaransa au muingereza, hakika watu wangefika moscow mapema tu.
Picha inajieleza kuwa sio mwanaharakati wa kisiasa bali mmwagaji damuUnajua lkn huyo rais wa UKRAINE unaemtetea amepiga marufuku vyama vyote vya upinzani hapo UKRAINE na amemkamata mpinzani mkuu wa serikali yake?View attachment 2187804View attachment 2187805