Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,835
- 8,935
Mkuu unataka kusema nini? Kwamba ukiwa mzaliwa wa kibondo automatically wewe ni wa nchi jirani? Tusipokuwa makini tuta wa victimize watu simply kwa wivu au chuki.SAMWELI MAHIRANE ni KAMISHNA wa UHAMIAJI anayeshughulikia UDHIBITI wa MIPAKA. Ni mzaliwa wa kijiji cha NYARUONGA, wilayani KIBONDO ambapo ni MPAKANI mwa BURUNDI. Mengine, nadhani MMEMSIKIA wenyewe CDF View attachment 2881050
Sent using Jamii Forums mobile app
nadhani hata kaka yetu CDF ile Kauli yake hakuipima vizuri. Ingebidi afanye utafiti na watu wanyofolewe kimyakimya. Lakini kwa alichofanya, usishangae watu kuwa victims tuu kwa sababu ya urefu wa pua zao au vijiji wanavyotoka. unadhani Hitler alifanya nini kwa wayahudi?
kwa mikoa ya pembezoni muingiliano ni lazima. kwa kuolewa, kuoa nk. tunahitaji umakini sana kabla ya kuandika sensitional stories kama hizi.
watu wa mipakani wanapitia dhahama nyingi sana nchi hii. Sijui Kama unalijua hili.
in all, nadhani serikali inafanya vetting ya nani ni nani kabla ya kuteua.