Ndio Maana tuliendelea kuwa maskini wakati tuliokuwa nao Sawa wakati wa uhuru wametuacha mbali.
Pesa nyingi Sana tumetumia kufadhili waasi wa nchi mbali mbali Mfano kabila, mseveni, Huyu,
Nyingine zikaishia kulisha majeshi ya nchi za watu.
Mimi bado huwa najiuliza, ilikuwaje Botswana isijihusishe Sana na mambo ya South Africa na Zimbabwe Kuliko Tanzania??