Medical labaratory science

Medical labaratory science

medicala=medical

kozi iko vizuri, vipimo vya makohozi, choo kubwa na ndogo, mkojo, malalia na magonjwa mengine kibao utahusika....kuhusu salary sifahamu
ngoja waje
 
zipo ajira za kutosha unaomba unapata serikalini na hosptl binafsi au kwny mashirika ya research
 
Ni taaluma nzuri ila inataka wito maana utajenga urafiki na lab samples ambazo zinatia kinyaa sana

Ajira ni directly ukitoka shule.Basic salary yao ni 980,000/= kwa sasa ila inaongezeka with time unapokuwa kazini

Hiyo ni scale ya degree...Chini ya hapo watatujuza wengine
 
Ni taaluma nzuri ila inataka wito maana utajenga urafiki na lab samples ambazo zinatia kinyaa sana

Ajira ni directly ukitoka shule.Basic salary yao ni 980,000/= kwa sasa ila inaongezeka with time unapokuwa kazini

Hiyo ni scale ya degree...Chini ya hapo watatujuza wengine

sory br vip salary kwa hii Health information system je wanaajiriwa wapi? ni soon tu ukimaliza au?
 
Back
Top Bottom