Mechanical engineering vs biomedical engineering

Mkuu hao watu wengi mno niwawapi?.
 
Kama unahitaji kusoma engineering soma hizi hapa chini.

Mechanical,Civil,Electrical.
Asante Mkuu, nadhani umemaliza. Zaidi ya hapa ni mtu kubisha kwa kutokuwa na ufahamu juu ya haya mambo, kwa sasa hizi course zinalipa.
 
Karibu mechanical mkuu......ila siku zingine uache kulinganisha mechanical na vitu vya kipumbavu...😀😀😀😀
 
kijana utakuja kujuta na kujikuta mtumwa katika kazi unayofanya kama hautasoma kitu unachokipenda!
 
Crispin Sam mm nakutakia masomo mema pale dit usubr na wenzako
Katende jr
 

Watu waache kukariri kozi yoyote ina ajira hata km ni mechanical or whatever muhimu ifanye at your best lolote linawezekana tofauti udaktari tu mi nimeona mtu wa mechanical kaajiriwa kufanya kazi ya audit ktk kampuni moja ya uingerza tena hata hajamaliza chuo akiwa mwaka wa mwisho shangaa kafanya interview na wahasibu kawamwaga wengine hapo muhim ilikuwa ni ufaulu wake na upeo wa uelewa wake inamaana mwajiri aliona mtu huyu anauwezo na kazi atafundishwa na kuelewa
 
wewe unaujua ukweliiii

mimi sitaki kuongea sana
lkn mechanical engineering unaweza kufanya kazi kwenye fields nyingi zaidi ya engineering yyte




i proud 2b a Mechanical engineer
Lewanga Jr
Kwa uhandishi huu nna mashaka na u mechanical engineer wako
 
Npe ushaur wako kaka ?!
Unapotaka kusoma biomedical engineering je:
-Unataka ukafanye kazi wapi?

-Je utajiendelezaje incase unataka kujiendeleza? je degree yake ipo tanzania? NA KAMA HAIPO UTAKUA NA UWEZO WA KUJIENDELEZA NJE au utaenda kusoma kozi ingine kwenye level ya degree??

NIJIBU HAYO MASWALI KWA UFASAHA ALAFU TUENDELEE.

NB: Jitahidi kuandika kwa ufasaha, hayo mambo ya x badala ya s na kuandika kifupi fupi acha!
 
As long as zote mbili nazipendah now what matter ni kwenye upande wa soko la ajira ....

Nikimalza dploma naeza pata wapi ajira mapema ndugu ????
Hata kam nikishindw kupata uwezo kwa degree k pesa or otherwise .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…