Crispin sam
Member
- Oct 27, 2015
- 49
- 5
- Thread starter
-
- #21
Na mm nmechaguliwa mechanical dit eb nijuze zaid ipoje ndugu yangwewe unaujua ukweliiii
mimi sitaki kuongea sana
lkn mechanical engineering unaweza kufanya kazi kwenye fields nyingi zaidi ya engineering yyte
i proud 2b a Mechanical engineer
Lewanga Jr
kwa hzo mbiliMm nmechaguliw DIT Mechanical na ATC biomedical ss nawaza niende wap ?!
Nenda ATCMm nmechaguliw DIT Mechanical na ATC biomedical ss nawaza niende wap ?!
n nzuri sana mkuuuNa mm nmechaguliwa mechanical dit eb nijuze zaid ipoje ndugu yang
Ww ulisoma kozi ipi kaka ?biomedical kweli ni nzuri ila mechanical ni nzuri zaidi ya fani nyingi za engineering ingawa sijazisoma hizo ila nazikubali kuna marafiki zangu nimemaliza nao arusha tech wakiwa wanasoma biomedical ila wa mechanical eng walipata ajira fasta sana
Npe namb yako kaka ili unijuze zaid juu ya hyo ???n nzuri sana mkuuu
lkn kama huipendi
mbadala wake ni
civil engineering
electrical engineering
nazo n nzur zaidiiiiiii
Ww unasoma koz ip ndugu ?Nenda ATC
Mm napenda zoteWewe hujui unapenda nini
Kijana nikusaidie Tu. Ukitaka kufanikiwa katika profession take the road less traveled.Jaman eb nifahamishen vzur jaman mnaofaham ???
Ushauri mzuri pia. Tatizo la elimu yetu MTU anamaliza form six hajui anataka kuwa nani akianza kufanya application ndo anaanza kuangalia a some niniMechanical ni kozi mama ktk engineering hio civil na umeme hio Biomedical ni sub field ndani ya umeme, Mkuu uliomba ushauri hebu tazama kipi unapenda kwa ushauri wangu tu soma Mechanical mana hio biomedical hata degree hazijaanza kutolewa hapa tz pili ni course mpya ambayo haina jina sana ktk uwanja wa ajili japo ni nzuri pia Diploma ipo Arusha Tech na DIT tu ambapo arusha ni combination ya electrical and biomedical engineering while Dar institute of technology ni Biodemical equipment engineering kama level ya diploma nenda Arusha Atc
Nashukuru bwn mzeeKijana nikusaidie Tu. Ukitaka kufanikiwa katika profession take the road less traveled.
Hizo course mbili zote ni nzuri na soko la ajira siyo baya sana uzuri zote hizo unaweza uakjiajiri mwenyewe.
Kwa ushauri wangu mimi take the road less traveled ambayo kwa hapo ni Biomedical engineering hiyo nyingine inasomwa na watu wengi mno kiasi cha kuwa competitive kwenye soko la ajira.
Ni tatizo mkuu mpaka kesho watu walipitia technical school au kuanza na certificate then diploma then degree wako njema sana site kuliko hawa freshers ambao mtu anaanza kusoma degree bila kujua lolote juu ya hio fani tena pengine kachaguliwa na ndugu jamaa na marafiki ni tatizoUshauri mzuri pia. Tatizo la elimu yetu MTU anamaliza form six hajui anataka kuwa nani akianza kufanya application ndo anaanza kuangalia a some nini
Nashukuru sana mkurugenzUshauri mzuri pia. Tatizo la elimu yetu MTU anamaliza form six hajui anataka kuwa nani akianza kufanya application ndo anaanza kuangalia a some nini
Penda sana kufanya vitu ambavyo wengi hawavifanyi kwa kuhofia ugumu au mchakato wa kuvifanya !Nashukuru sana mkurugenz
Asante kaka.....Mimi mwenyewe akili ndogo sijawahi kuona mtu kasoma Mechanical then analia njaa.Watu wanaiogopa mech kutokana na ugumu wake,ndio mana inasoma watu wachache.
Nashangaa unaposema mechanical nikushusha engine yenye oil nikikuuliza unitajie watu wanne unaowafahamu wamesoma mechanical engineering then wanashusha engine hutomtaja hata mmoja.
Saw mkuu ila ww umeshaul ip kat ya hzo mbili az long az mm zote nazpendahPenda sana kufanya vitu ambavyo wengi hawavifanyi kwa kuhofia ugumu au mchakato wa kuvifanya !
Usifanye jambo kwa shinikizo ka MTU fikiria , kaa chini jiulize we ni nani na unataka kuwa nani baadaye je unasifa za kufikia unachotaka kukifikia.
Take the road less traveled
Kasome Biomedical engineeringSaw mkuu ila ww umeshaul ip kat ya hzo mbili az long az mm zote nazpendah