technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,557
- 57,857
Naomba mahakama zimwachie mala moja Mdude Nyangali
Hatutaki hapa kesi uchwara tena kwenye taifa letu
Kuna wanaosema Rais aingilie kati kesi hii Mimi nakataa Mdude hana kesi yeyote ya kujibu ni uonevu tu na chuki za Magufuli kwa wapinzani wake.
Halafu mnataka tuwe na uzalendo, uzalendo gani mnataka bila kutenda haki.
Mdude Nyangali aachiwe kwanza halafu waliombabikiza kesi akiwemo Chalamila waombe radhi na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.
Nchi hii sio ya CCM wala Rais aliyepo madarakani.
Hukumu yake itekelezwe halaka kama alitenda kosa kwanini ushahidi haukamiliki miaka 2 sasa?
Resources zinazopotea kwenye kesi uchwara ni kodi ya watanzania.
Baada ya haki ndio uzalendo utafuata.
Hatutaki hapa kesi uchwara tena kwenye taifa letu
Kuna wanaosema Rais aingilie kati kesi hii Mimi nakataa Mdude hana kesi yeyote ya kujibu ni uonevu tu na chuki za Magufuli kwa wapinzani wake.
Halafu mnataka tuwe na uzalendo, uzalendo gani mnataka bila kutenda haki.
Mdude Nyangali aachiwe kwanza halafu waliombabikiza kesi akiwemo Chalamila waombe radhi na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.
Nchi hii sio ya CCM wala Rais aliyepo madarakani.
Hukumu yake itekelezwe halaka kama alitenda kosa kwanini ushahidi haukamiliki miaka 2 sasa?
Resources zinazopotea kwenye kesi uchwara ni kodi ya watanzania.
Baada ya haki ndio uzalendo utafuata.