Mdude CHADEMA kapotelea wapi?

@mdude chadema



Yuko hapo mkuu hana jipya
 
Hivi Edward Snowden yupo wapi ? Kapotea aseee ! Julian Asange nae vipi jamani ? THE POWER OF STATE ! don't mess around expecting to Scot free !
 
Una swali lingine?
 
Pumbavu!
 
Namna ya ukosoaji wa mdude haiwezi kubaliwa na yeyote mwenye akili timamu.

Unaweza mkosoa rais kama haki yako kikatiba inavyokutaka,lakini rugha za dhihaka wakati huo zitampa sababu ya kukunyamazisha kabisa.
 


unapoandika uongo hasa mahali kama jf ni lazima utakuwa mwehu
 
Nenda Twitter yuko mwingi tu!
 
.
 
Kubinywa pvmbv na pliers unadhani jambo dogo,kwa hizi nchi zetu za Kiafrika ambako viongozi wengi ni wajanja wajanja epuka kitu kinaitwa “kuwa mpinzani wa rais” utakufa siku si zako au utageuzwa hanithi!
 
Ndiyo, kupitia matako ya mamako.

Mama yangu ana matako kama ya mama yako na yako mwenyewe!

Wote tuna matako!

Endeleo kutumia hayo matako kufikiri!

Na unajua matako yatoa what,shit!

Thats why your thinking is shitty!
 
Naomba nikutakase
 
Yupo anashusha nondo kama kawaida.

..kesi aliyofungua dhidi ya Polisi waliomtesa imefikia wapi?

..Mdude aliweza kuwatambua watesi wake mpaka force number zao na hivyo kuwashtaki kwenye tume ya haki za binaadamu na mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…