so sad, Mungu amponye, aisee , eeh Mungu turehemu!
So sad jamaa katutoka, ila kuna jambo la kujifunza, maisha mazuri kwa watu wengi na starehe za muda mfupi ndio huishia hivyi, sihukumu, ila tujitafakari
Ambaye Hana Akili ni wewe !? Wewe ukiwa kama mzazi mwenye upendo utakubali kuona Watoto wako wanabakwa na kuuwawa ilhali unazo nguvu za kuzuia huo uovu ,
Kama una nguvu za kuzuia halafu ukawaacha watoto wako wa bakwe tuta Kutafsiri ni baba mwenye upendo au baba katili !?
Usilitaje bure Jina la Bwana Mungu wako. What goes around comes around. Hata kama kwako unaona hana huruma bado anabaki kuwa Mungu. Mungu hachunguziki hivyo usijaribu kujiuliza maswali ya kwa nini ameruhusu hiki na kuzuia kile, ukifanya hivyo lazima tu utamchukia
Bila shaka hii dharau yako mungu ameipokea .. unamtukana aliyekuumba kisa mdogo wa kanumba anaumwa? Unamtunishia msuli mwenyezimungu eeh?? Haya Ngoja tukuachie janga lako