Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
guys,
Jana nilipata bahati ya kwenda mahakama ya ilala pale lumumba katika issue za kesi yangu moja ivi ya barabarani nikakuta watu wenye kesi za madai jinsi wanvotaabika utadhani wao ndo wametapeli kumbe wao ndo wametapeliwa, PP anawaambia kwa umeongea na mdaiwa?? mkae chini akulipe koz apa mahakamani mdaiwa hafungwi!!!anaweza kukulipa akiamua shillingi elfu tano kila mwezi na hakimu akakubali na kesi ikafungwa!!!!jamani!!!!watu wanamjibu mdaiwa hapokei simuuuuu!!!na anajua kwamba hafungwi please tusaidie!!!ilikuwa na huruma mpaka mwisho!! mi naona serikali ingeweka sheria kwamba ikithibitika umekopa au tapeli basi ufungwe angalau mwaka 1 then ukitoka umalizane na anaekudai ukishindwa unamalizia miaka 4 ivi apo ndo utapeli utaisha mjini apa na ata banks zitapunguza masharti ya kukopesha watanzania wenye nia ya kulipa lakini hawana dhamana inayoridhisha..
thats my take...mnaonaje wana jf??
Jana nilipata bahati ya kwenda mahakama ya ilala pale lumumba katika issue za kesi yangu moja ivi ya barabarani nikakuta watu wenye kesi za madai jinsi wanvotaabika utadhani wao ndo wametapeli kumbe wao ndo wametapeliwa, PP anawaambia kwa umeongea na mdaiwa?? mkae chini akulipe koz apa mahakamani mdaiwa hafungwi!!!anaweza kukulipa akiamua shillingi elfu tano kila mwezi na hakimu akakubali na kesi ikafungwa!!!!jamani!!!!watu wanamjibu mdaiwa hapokei simuuuuu!!!na anajua kwamba hafungwi please tusaidie!!!ilikuwa na huruma mpaka mwisho!! mi naona serikali ingeweka sheria kwamba ikithibitika umekopa au tapeli basi ufungwe angalau mwaka 1 then ukitoka umalizane na anaekudai ukishindwa unamalizia miaka 4 ivi apo ndo utapeli utaisha mjini apa na ata banks zitapunguza masharti ya kukopesha watanzania wenye nia ya kulipa lakini hawana dhamana inayoridhisha..
thats my take...mnaonaje wana jf??