The Biggest IQ
Member
- Nov 24, 2010
- 54
- 3
nimesikia kuna mdahalo wa wasomi juu ya katiba mpya utakaoongozwa na nguli wa sheria prof.issa hivji ss naomba kuuliza au kupata uhakika ni wapi, lini, saa ngapi na kama wote tunakaribishwa au ni watu maalum?
asanteni jf members
asanteni jf members