Habari wana forum,
Nko kwenye uhitaji wa MDADA wa Kazi za nyumbani. Nna familia yenye mke na Mtoto mmoja.
Umri 15-20
Niko morogoro
Naomba nisaidiwe. Salary ni elf60
PM inahusika
Kuwa makini wadada wa kutafutiwa mitandaoni utaletewa mwizi uamke hayupo. Ushauri tafuta kupitia watu unaowafahamu ukishindwa kachukue ndugu kijijini sidhani kama utakosa
Habari wana forum,
Nko kwenye uhitaji wa MDADA wa Kazi za nyumbani. Nna familia yenye mke na Mtoto mmoja.
Umri 15-20
Niko morogoro
Naomba nisaidiwe. Salary ni elf60
PM inahusika
Kuwa makini wadada wa kutafutiwa mitandaoni utaletewa mwizi uamke hayupo. Ushauri tafuta kupitia watu unaowafahamu ukishindwa kachukue ndugu kijijini sidhani kama utakosa