anahitajika dada mwenye elimu ya form iv an vi.
Awe mkazi wa dar es salaam.
Offic iko magomeni mapipa.
Awe anapanda gani moja kufika hapo au hapandi kabisa gari.
Sifa:
1.awe mwenye kujipenda
2.elimu form six or four
3.anajua kingereza
4.anajua kujieleza vizuri
5.umri kuanzia miaka 18-24.
6.mrembo na mwenye kujienda
kazi
1.kutunza office
2.kupokea simu
3.kupokea wageni
4.kuweka taarifa kwenye computer,kutuma emails na kupokea.
Nb kama hajui computer atafundishwa bure.
Mawasiliano:
Phone:0713-810857
e-mail: imamu.njama@yahoo.com
gheto gani?Anahitajika dada mwenye elimu ya form iv an vi.
Awe mkazi wa dar es salaam.
Offic iko magomeni mapipa.
Awe anapanda gani moja kufika hapo au hapandi kabisa gari.
SIFA:
1.Awe mwenye kujipenda
2.Elimu form six or four
3.Anajua kingereza
4.Anajua kujieleza vizuri
5.umri kuanzia miaka 18-24.
6.mrembo na mwenye kujienda
KAZI
1.kutunza office
2.kupokea simu
3.kupokea wageni
4.kuweka taarifa kwenye computer,kutuma emails na kupokea.
NB kama hajui computer atafundishwa bure.
MAWASILIANO:
Phone:0713-810857
E-mail: imamu.njama@yahoo.com
Anahitajika dada mwenye elimu ya form iv an vi.
Awe mkazi wa dar es salaam.
Offic iko magomeni mapipa.
Awe anapanda gani moja kufika hapo au hapandi kabisa gari.
Ninaye mdogo wangu lakini hili sharti limemwondoa kwenye kinyang'anyiro !!! Mashati mengine kama ya waganga wa kienyeji vile, unatakiwa kuweka mashrti kwenye muda wa kufika na kuondoka ofisini na sio aina ya usafiri. Je, kama ana usafiri wake na anakaa Mabwe Pande inakuwaje, maana bado atapanda gari moja. Au hana usafiri, anakaa Ubungo Riverside anapaswa kufika Ubungo kwanza, halafu apande magari ya Posta au Kariakoo via Magomeni.
Vipi kwa hicho kigezo cha "kupanda gari moja". Mimi ambaye nina gari langu napanda nyumbani mpaka hapo magomeni bila kubadilisha nitafikiriwa? Au labda sielewi maana ya kupanda gari moja!
Anahitajika dada mwenye elimu ya form iv an vi.
Awe mkazi wa dar es salaam.
Offic iko magomeni mapipa.
Awe anapanda gani moja kufika hapo au hapandi kabisa gari.
SIFA:
1.Awe mwenye kujipenda
2.Elimu form six or four
3.Anajua kingereza
4.Anajua kujieleza vizuri
5.umri kuanzia miaka 18-24.
6.mrembo na mwenye kujienda
KAZI
1.kutunza office
2.kupokea simu
3.kupokea wageni
4.kuweka taarifa kwenye computer,kutuma emails na kupokea.
NB kama hajui computer atafundishwa bure.
MAWASILIANO:
Phone:0713-810857
E-mail: imamu.njama@yahoo.com
Anahitajika dada mwenye elimu ya form iv an vi.
Awe mkazi wa dar es salaam.
Offic iko magomeni mapipa.
Awe anapanda gani moja kufika hapo au hapandi kabisa gari.
SIFA:
1.Awe mwenye kujipenda
2.Elimu form six or four
3.Anajua kingereza
4.Anajua kujieleza vizuri
5.umri kuanzia miaka 18-24.
6.mrembo na mwenye kujienda
KAZI
1.kutunza office
2.kupokea simu
3.kupokea wageni
4.kuweka taarifa kwenye computer,kutuma emails na kupokea.
NB kama hajui computer atafundishwa bure.
MAWASILIANO:
Phone:0713-810857
E-mail: imamu.njama@yahoo.com
Anahitajika dada mwenye elimu ya form iv an vi.
Awe mkazi wa dar es salaam.
Offic iko magomeni mapipa.
Awe anapanda gani moja kufika hapo au hapandi kabisa gari.
SIFA:
1.Awe mwenye kujipenda
2.Elimu form six or four
3.Anajua kingereza
4.Anajua kujieleza vizuri
5.umri kuanzia miaka 18-24.
6.mrembo na mwenye kujienda
KAZI
1.kutunza office
2.kupokea simu
3.kupokea wageni
4.kuweka taarifa kwenye computer,kutuma emails na kupokea.
NB kama hajui computer atafundishwa bure.
MAWASILIANO:
Phone:0713-810857
E-mail: imamu.njama@yahoo.com
Kuna kijana wa kiume ana sifa zote kasoro hiyo ya jinsia. Vipi, nimlete?