Mdada aliye serious na mahusiano anahitajika

Mdada aliye serious na mahusiano anahitajika

menelik

Member
Joined
Jul 7, 2014
Posts
6
Reaction score
5
Natafuta mwanamke mwenye nia ya kweli ya kuwa na mwanaume, mimi nilioa miaka 7 ndani ya ndoa nina watoto wawili tukaachana miezi 8 ilopita edomkally@gmail.com

Umri 30 na kuendelea

Ki ufupi awe mtu anaejielewa nini anataka
 
Tobaaa 2 kids
Unatafuta MTU wa kukulelea watoto or
7 month tangia mmeachana na unataka kuoa

Bora uwalee wanao mkuu
Ndoa ndoano
 
Natafuta mwanamke mwenye nia ya kweli ya kuwa na mwanaume, mimi nilioa miaka 7 ndani ya ndoa nina watoto wawili tukaachana miezi 8 ilopita edomkally@gmail.com
Umri 30 na kuendelea
Ki ufupi awe mtu anaejielewa nini anataka

kujielewa nini anataka ni moja, ishu ni kumtimizia kile anachotaka
 
Na kweli inabidi mwanamke anajielewa. Sound and mature. Hapo kwa over 30 unaweza kupata. Mungu akujaalie upate mwema.
 
Tobaaa 2 kids
Unatafuta MTU wa kukulelea watoto or
7 month tangia mmeachana na unataka kuoa

Bora uwalee wanao mkuu
Ndoa ndoano

na mimi nimejiuliza yani miezi 8 tu ndoa imevunjika ameshaanza kutafuta kuoa tena, angekuwa muislam ningesema labda mwezi huu anatafuta wa kumpikia uji na ftari
 
....uliyeachana nae hana tofauti na unayemtakaaa....
 
kuna mtu kwa jna na muifadh ana mume wake lakn bado anachepuka na waume za wa tu .. je ndoa ni nn?
 
na mimi nimejiuliza yani miezi 8 tu ndoa imevunjika ameshaanza kutafuta kuoa tena, angekuwa muislam ningesema labda mwezi huu anatafuta wa kumpikia uji na ftari

Mm namshauri achukue mda zaid wa kutafakari mistake ya ndoa ilopita wapi alikosea.
Aangalie watoto andae future yao

Kuoa itafuata baada ya kuweka mikakati.uvumilivu muhimu papara sio nzuri huyu amechoka upweke
 
Tobaaa 2 kids
Unatafuta MTU wa kukulelea watoto or
7 month tangia mmeachana na unataka kuoa

Bora uwalee wanao mkuu
Ndoa ndoano

wapo wanaweza sana usimkatishe tamaa mwenzio....afu ye naye aseme imekuwaje maana si rahisi mwanamke mwenye akili timamu awaache watoto wateseke na malezi ya baba tu!
 
Imekuwaje ndoa yenye watoto kuvunjika? Afu eti miezi8 tu unataka kuoa!! Juzi tu apa ushataka kuoa mmmh utaoa sana
 
Hebu kaa chini kwanza utafakari maana ni mda mfupi umepita baada yakuachana
 
Ujana ule na mwingine uzee uueleke kwa mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom