Sante Nifah! Shemeji yangu kwa kunitia moyo...!Asante kwa birthday wishes mkuu,ubarikiwe sana.
Kuhusiana na mada ngoja nikupe siri...Mimi na Bold tuliumbwa kuwa wapenzi yani hatukujua kabisa kama kuna siku tungekuja kuwa wapenzi hapo kabla.
Ila baadae mapenzi yalianza kujijenga mioyoni mwetu taratibu,kila mmoja kwa namma yake lakini hakuna aliyethubutu kumueleza mwenzie.
Na hata wakati tumeanza kufanya mawasiliano Bold alinikuta single,na nilikuwa nimevurugika kweli kwa mazonge ya mahusiano niliyokuwa nayo hapo kabla...ila taratibu aligain trust yangu,japo nilikuwa nampenda lakini nilikuwa nasita.
Baada ya kujidhihirisha huyu ndiye hasa niliyekuwa nikitamani kuwa nae tuliingia rasmi ktk mahusiano.
Achana na haya uyaonayo huku JF,kiukweli tunapendana sana,sana yani hadi huwa tunajishangaa wenyewe.
Kiasi Bold huwa ananiuliza "Nifah hatujazaliwa pamoja kweli?Hatujasoma pamoja?Hatujaishi pamoja? (hapo kabla)"
Yote ni kutokana na vile tulivyoshibana.
What am trying to say is...mapenzi ya ukweli yapo,haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila amini yapo.
Achana na wanaoukukatisha tamaa kuwa hapa hutompata mwanamke serious,mimi na Bold tulikutana humuhumu.
Mungu akufanyie wepesi nawe umpate 'Nifah' wako
Ila sasa nawe uwe serious,usitake kumpata mwenzi aliye serious huku wewe hujawa tayari kusetlle down.
Kila la kheri
Normally sina haraka nifanyapo mambo yangu lengo kubwa ni kumpongeza NIFAH na THE BOLD. Akitokea mpenzi yatakuwa matokeo ndiyo maana nikatia angalizo kwamba usije kujisogeza makutano junctions km huna determination.Hahahahahh
Bigmind umechukua fursa ya The Bold na Nifah kutafuta mupenzi
Ila ungepost kule love connect
Huku chit chat watu wanaona kama masihara
Best luck asee
Sante Nifah! Shemeji yangu kwa kunitia moyo...!
Binafsi nikili sikufahamu kwa sura ila kwa mwenendo wako humu jf nakufahamu vyema kabisa. Unajiheshimu sana, uko na spirit ya kutokata tamaa na pia unajua nini unataka na kwa wakati gani, kikubwa unamwelekeo you know ulikotoka, uko wapi na wapi unaelekea (determination).
Kiufupi nakupongeza sana na ndugu yangu THE BOLD Mungu wetu awaangazie muishi maisha ya furaha siku zote.
Wanaoponda wanajua why wanaponda, maana huwa spotezi muda kwa mtu unayemfahamu. Binafsi ninatabia ya kumfollow mtu kwa muda ili nimfahamu.
Asante na hongera Mungu akupe miaka 1000 ya ziada mbele.
wewe si ulikuwa unatafuta mchumba?mwanamke atakaekukubali wewe atakuwa na matatizo
huko kanisani wamekukataa ,kazini ,mtaani hata majirani .wadada wa jf msidanganywe na huyu mtu hafai
muoe huyo atatuliaUsingejitokeza kuponda ningeshangaa sana
Hatutaki mazoea kuzoea..! Unaona sasa unajulikana wewe.
daahh!!boss kala ban tenaAsante kwa birthday wishes mkuu,ubarikiwe sana.
Kuhusiana na mada ngoja nikupe siri...Mimi na Bold tuliumbwa kuwa wapenzi yani hatukujua kabisa kama kuna siku tungekuja kuwa wapenzi hapo kabla.
Ila baadae mapenzi yalianza kujijenga mioyoni mwetu taratibu,kila mmoja kwa namma yake lakini hakuna aliyethubutu kumueleza mwenzie.
Na hata wakati tumeanza kufanya mawasiliano Bold alinikuta single,na nilikuwa nimevurugika kweli kwa mazonge ya mahusiano niliyokuwa nayo hapo kabla...ila taratibu aligain trust yangu,japo nilikuwa nampenda lakini nilikuwa nasita.
Baada ya kujidhihirisha huyu ndiye hasa niliyekuwa nikitamani kuwa nae tuliingia rasmi ktk mahusiano.
Achana na haya uyaonayo huku JF,kiukweli tunapendana sana,sana yani hadi huwa tunajishangaa wenyewe.
Kiasi Bold huwa ananiuliza "Nifah hatujazaliwa pamoja kweli?Hatujasoma pamoja?Hatujaishi pamoja? (hapo kabla)"
Yote ni kutokana na vile tulivyoshibana.
What am trying to say is...mapenzi ya ukweli yapo,haijalishi wapi utakapokutana na soulmate wako,ila amini yapo.
Achana na wanaoukukatisha tamaa kuwa hapa hutompata mwanamke serious,mimi na Bold tulikutana humuhumu.
Mungu akufanyie wepesi nawe umpate 'Nifah' wako
Ila sasa nawe uwe serious,usitake kumpata mwenzi aliye serious huku wewe hujawa tayari kusetlle down.
Kila la kheri
Mbona naona kuna ban?Hahahahah.! All the best Mkuu..
Nicheki private nitakuambia sis.daahh!!boss kala ban tena
imekuaje?!!!
Mnajuana au mnafahamiana?mwanamke atakaekukubali wewe atakuwa na matatizo
huko kanisani wamekukataa ,kazini ,mtaani hata majirani .wadada wa jf msidanganywe na huyu mtu hafai
nimesoma ile comment yako..hongera kwa kumpata akupendae na ukampenda akapendeka na kukusahaulisha machungu ya nyuma.Nicheki private nitakuambia sis.
Kamwe usikate tamaa , huwezi jua kwenye akiba yako mungu kabakisha nn .nimesoma ile comment yako..hongera kwa kumpata akupendae na ukampenda akapendeka na kukusahaulisha machungu ya nyuma.
ukweli upendo wa kweli siku hizi ni adimu sana..wengine tushakata tamaa..ive lost hope now nangalia yangu..
huyu jamaa ashanitukana sana hanaga adabu huyu nilikuwa nimemuignore ngoja nimlipizie