Mdada aliye makinia akitokeze tuwajibu na kuwaenzi The Bold na Nifah

bigmind

JF-Expert Member
Oct 28, 2015
12,461
12,670
Binafsi napendezwa na kuvutiwa na hii Couple ya THE BOLD na NIFAH hapa jamii forum mpaka nashawishika kuwajibu na kisha kuwaenzi hawa maicon wetu kwa mapenzi motomoto na mubashara wanayotuonesha hapa jf.

Narudia tena mdada anayejielewa please hakuje makutano(PM) tupange na namba ya mashambulizi kwa hawa jamaa.

ZINGATIA YAFUATAYO:-
1: Uwe unajielewa na kujitambua kuanzia wewe binafsi na jamii.

2: Uwe na maono/vision na focus katika maisha.

3: Usiwe mtu wa kuyumbishwa yumbishwa na mwenye tamaa.

4: Note; don't expect much from me. The only you can do is make me to be a husband you have been dreaming. Pia mimi nitakufanya mke nimuotaye kila siku.

TAMBUA. Nifah na The Bold siyo watu wa kisipoti kisipoti kama ujiwezi usijaribu.

HAPPYBIRTHDAY NIFAH. Nakupenda shemeji letu.
 
Binafsi napendezwa na kuvutiwa na hii Couple ya THE BOLD na NIFAH hapa jamii forum mpaka nashawishika kuwajibu na kisha kuwaenzi hawa maicon wetu kwa mapenzi motomoto na mubashara wanayotuonesha hapa jf.

Narudia tena mdada anayejielewa please hakuje makutano(PM) tupange na namba ya mashambulizi kwa hawa jamaa.

ZINGATIA YAFUATAYO:-
1: Uwe unajielewa na kujitambua kuanzia wewe binafsi na jamii. wewe mwenyewe hujielewi

2: Uwe na maono/vision na focus katika maisha. ungekuwa na maona na vision ungekuwa unajua kwenye maona yako upate mke kivipi.huna vision huna maono

3: Usiwe mtu wa kuyumbishwa yumbishwa na mwenye tamaa. wewe mwenyewe unakoenda upepo ndo unapopatikana

4: Note; don't expect much from me. The only you can do is make me to be a husband you have been dreaming. Pia mimi nitakufanya mke nimuotaye kila siku. you got nothing to offer so no any expectation from you

TAMBUA. Nifah na The Bold siyo watu wa kisipoti kisipoti kama ujiwezi usijaribu.

HAPPYBIRTHDAY NIFAH. Nakupenda shemeji letu.
leave nifah and the bold huwezi na hutokaa ufanane nae
 
mwanamke atakaekukubali wewe atakuwa na matatizo
huko kanisani wamekukataa ,kazini ,mtaani hata majirani .wadada wa jf msidanganywe na huyu mtu hafai
Usingejitokeza kuponda ningeshangaa sana

Hatutaki mazoea kuzoea..! Unaona sasa unajulikana wewe.
 
Back
Top Bottom