Meya Boniphace Jacob, jiuzulu udiwani na umeya kwa kuliongopea Taifa kuwa ungemfungulia kesi Makonda

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Meya wa ubungo aliaminisha watanzania kuwa Jana tarehe 22/3 JNNE angefungua kesi ; ya jinai kuhusu makonda. lakini cha kushangaza mpaka leo ajatokea kwenye vyombo habari. kutoa maelezo nini kimemsibu. ushauri katukwaza
  • Watanzania;; tuliaminishwa kuwa ana madai'
  • Chadema
  • Wananchi wa UBUNGO
Chama kimuchukulie hatua kutoa taarifa ili hali si msemeji wa Chadema wala si katibu wa Chadema na kutotimiza ahadi, alikini akiunhusisha mwanasheria wa chadema na mawakili wakubwa.

Refer taarifa ya wiki iliyopita:
>>Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki
 
Wana Dar sasa Fitna,Ukweli,Uzushi,Majungu,Wivu,Kila aina ya vioja tumeona na kusikia kuhusu RC Dar,Mteule wake bado anamwamini sisi hatuwezi kupinga kamwe kwa mujibu wa katiba na sheria.
Tumwache afanyekazi zake Only God will judge.
Kila jambo linatokea kwa mpango wa Mungu binadam ufata tu.
 
Yeah ni kweli
Jamaa kama hana mpango wa kumtoa hata mtoa hata mara moja.
Nadhan ni muda muafaka wa ku focus kwenye mambo mengine ya muhimu hili lisha pita kwa sasa
Na hili suala watu wasipojiangalia, litaenda na kichwa cha mtu. RC GAMBO alifarakana na LEMA, Lema akaishia kunyea DEBE miezi 4 KISONGO na amerudi akili imemkaa sawa na ARUSHA imetulia na hakuna tena fyokofyoko
 
Meya wa ubungo aliaminisha watanzania kuwa Jana tarehe 22/3 JNNE angefungua kesi ; ya jinai kuhusu makonda. lakini cha kushangaza mpaka leo ajatokea kwenye vyombo habari. kutoa maelezo nini kimemsibu. ushauri katukwaza
  • Watanzania;; tuliaminishwa kuwa ana madai'
  • Chadema
  • Wananchi wa UBUNGO
Chama kimuchukulie hatua kutoa taarifa ili hali si msemeji wa Chadema wala si katibu wa Chadema na kutotimiza ahadi, alikini akiunhusisha mwanasheria wa chadema na mawakili wakubwa.

Refer taarifa ya wiki iliyopita:
>>Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki
Kesi inafunguliwa leo tarehe 22.03.2017, nawe unakaribishwa kushuhudia.
 
Meya wa ubungo aliaminisha watanzania kuwa Jana tarehe 22/3 JNNE angefungua kesi ; ya jinai kuhusu makonda. lakini cha kushangaza mpaka leo ajatokea kwenye vyombo habari. kutoa maelezo nini kimemsibu. ushauri katukwaza
  • Watanzania;; tuliaminishwa kuwa ana madai'
  • Chadema
  • Wananchi wa UBUNGO
Chama kimuchukulie hatua kutoa taarifa ili hali si msemeji wa Chadema wala si katibu wa Chadema na kutotimiza ahadi, alikini akiunhusisha mwanasheria wa chadema na mawakili wakubwa.

Refer taarifa ya wiki iliyopita:
>>Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki
Al Qaeda
 
Meya wa ubungo aliaminisha watanzania kuwa Jana tarehe 22/3 JNNE angefungua kesi ; ya jinai kuhusu makonda. lakini cha kushangaza mpaka leo ajatokea kwenye vyombo habari. kutoa maelezo nini kimemsibu. ushauri katukwaza
  • Watanzania;; tuliaminishwa kuwa ana madai'
  • Chadema
  • Wananchi wa UBUNGO
Chama kimuchukulie hatua kutoa taarifa ili hali si msemeji wa Chadema wala si katibu wa Chadema na kutotimiza ahadi, alikini akiunhusisha mwanasheria wa chadema na mawakili wakubwa.

Refer taarifa ya wiki iliyopita:
>>Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki
HEBU TUSAIDIE WEWE KUFUNGUA HIYO KESI
 
Mtoa post tumia akili, kufikiria, pili kesi siyo zipo ya surwali useme unaweza kufu wakati wwote unapojickia, lazima taratibu za sheria zifwatwe, jacob cyo mbunge ni DIWANI, punguwani ww mtoa Post
Kuna mahali Kaandika kwamba ni Mbunge
 
Tatizo watu bado wana fikra kwamba Kuna maajabu ya weza kutokea lowasa akawa rais ghafla tu. Ndugu ZANGU rais wa taifa letu ni John pombe Joseph magufuli 2015 mpka 2020.. Bado miaka mitatu tu Subirini mtaenda kumpata mwingine. Ila Kwa Sasa watanzania walishaamua awe magufuli
 
Meya wa ubungo aliaminisha watanzania kuwa Jana tarehe 22/3 JNNE angefungua kesi ; ya jinai kuhusu makonda. lakini cha kushangaza mpaka leo ajatokea kwenye vyombo habari. kutoa maelezo nini kimemsibu. ushauri katukwaza
  • Watanzania;; tuliaminishwa kuwa ana madai'
  • Chadema
  • Wananchi wa UBUNGO
Chama kimuchukulie hatua kutoa taarifa ili hali si msemeji wa Chadema wala si katibu wa Chadema na kutotimiza ahadi, alikini akiunhusisha mwanasheria wa chadema na mawakili wakubwa.

Refer taarifa ya wiki iliyopita:
>>Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki
Mbona Mbona kama unaandika kama unakimbizwa
 
Back
Top Bottom