Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,330
- 1,286
Ww umelogwa sio bure.
Tena unatatizo la akili la kutengenezwa
NAMNUKUU MWANA JF MMOJA
Nyumba ya mganga na nyumba ya Chifu haipungukiwi ni msemo wa wazee huo. Umemtibu mtu analeta shukrani kwa alichofanikiwa.
Sifa za Mganga wa kweli.
Mganga wa kweli hakutozi hela nyingi kuliko alivyopangiwa na mizimu iliyompa uganga maana uganga wa kweli lengo lake ni kusaidia jamii, uganga ni jadi na lengo lake ni kuisaidia jamii toka enzi na enzi ni bahati mbaya sana kuufanya uganga kuwa dili la kuwaibia watu, hii sio lengo la uganga kwa asili yake.
Uganga wa kweli mara nyingi ni ule unaotokana na kurithi toka kizazi mpaka kizazi sio ule wa kujifunza,ukanjanja, udii na ulozi wa kuwatupia watu mabalaa kwa lengo la waje uwatibu.
Mganga wa kweli lazima atakukurahishishia shida ulionayo na kama imemzidi uganga atakwambia au atakuposti kwa wajuaji zaidi wa shida yako (Waganga wanafahamiana kwa uwezo na nyanja kama walivyo walozi).
Mganga wa kweli atakutibu ili upone ndo akufaidi zaidi kwa shukrani na zawadi na uaminifu wako kwake na ndio faida ya uganga wa kweli. Huyu mganga hutamwacha kamwe kwenye kulingana na alivyotatua shida yako.
Kuna jangiri alijeruhiwa na nyati porini nyati alivunja vunja miguu, yule mwamba wenzie walimbeba mpaka kijiji cha jirani huko Katavi kwa mganga. Mganga akawaambia wale wenzake mje mumchukue baada ya wiki tatu muache debe moja la unga. Wenzie waliporudi baada ya wiki 3 walikuta anatembelea fimbo na akapona mifupa na akarudi kwenye ujangiri wake na akipata mnyama lazima apeleke nyama kwa Mganga.
Onyo: Nazungumzia waganga wa kweli sio matapeli wa mjini na mapropesa.
Watu wanaibiwa na wanachanganya sana kati ya Ulozi, Ugagula, Uganga na Mazingaombwe, kiini macho.
MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 20,000 Kwa ajili ya connection.
Anatibu Kwa kutumia jinalako na mama Yako.
Kulingana na tatizo kubwa sana anaweza kukuambia uende Tanga mjini.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama. ( Quality is Expensive) kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo. za umeme utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigwe life ban
Karibuni PM/DM
Tatizo kubwa ni usumbufu wawatu
Kuja dm na kukimbia
kuuliza maswali yasiyo na kichwa Wala miguu
waulizeni wenzenu niliowapa namba jinsi wamefanikiwa kimaisha.
Watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living, wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto Wana magorofa magari na maisha Bora sana na conclude
mganga anatibu matatizo mengi ni ww kumweleza tatizo lako karibuni
Tena unatatizo la akili la kutengenezwa
NAMNUKUU MWANA JF MMOJA
Nyumba ya mganga na nyumba ya Chifu haipungukiwi ni msemo wa wazee huo. Umemtibu mtu analeta shukrani kwa alichofanikiwa.
Sifa za Mganga wa kweli.
Mganga wa kweli hakutozi hela nyingi kuliko alivyopangiwa na mizimu iliyompa uganga maana uganga wa kweli lengo lake ni kusaidia jamii, uganga ni jadi na lengo lake ni kuisaidia jamii toka enzi na enzi ni bahati mbaya sana kuufanya uganga kuwa dili la kuwaibia watu, hii sio lengo la uganga kwa asili yake.
Uganga wa kweli mara nyingi ni ule unaotokana na kurithi toka kizazi mpaka kizazi sio ule wa kujifunza,ukanjanja, udii na ulozi wa kuwatupia watu mabalaa kwa lengo la waje uwatibu.
Mganga wa kweli lazima atakukurahishishia shida ulionayo na kama imemzidi uganga atakwambia au atakuposti kwa wajuaji zaidi wa shida yako (Waganga wanafahamiana kwa uwezo na nyanja kama walivyo walozi).
Mganga wa kweli atakutibu ili upone ndo akufaidi zaidi kwa shukrani na zawadi na uaminifu wako kwake na ndio faida ya uganga wa kweli. Huyu mganga hutamwacha kamwe kwenye kulingana na alivyotatua shida yako.
Kuna jangiri alijeruhiwa na nyati porini nyati alivunja vunja miguu, yule mwamba wenzie walimbeba mpaka kijiji cha jirani huko Katavi kwa mganga. Mganga akawaambia wale wenzake mje mumchukue baada ya wiki tatu muache debe moja la unga. Wenzie waliporudi baada ya wiki 3 walikuta anatembelea fimbo na akapona mifupa na akarudi kwenye ujangiri wake na akipata mnyama lazima apeleke nyama kwa Mganga.
Onyo: Nazungumzia waganga wa kweli sio matapeli wa mjini na mapropesa.
Watu wanaibiwa na wanachanganya sana kati ya Ulozi, Ugagula, Uganga na Mazingaombwe, kiini macho.
MIMI NAANDIKA NA NINA MGANGA WA UHAKIKA
Kama mtu anataka mganga wa uhakika mganga wa Tanga aje pm ilaa aandae kunitumia 20,000 Kwa ajili ya connection.
Anatibu Kwa kutumia jinalako na mama Yako.
Kulingana na tatizo kubwa sana anaweza kukuambia uende Tanga mjini.
Alisikika m Tanzania mmoja akisema Vibora vinagharama. ( Quality is Expensive) kama hutaki unataka cheap chukua ya kwenye nguzo. za umeme utapeliwe.
Nikimtapeli mtu anireport nipigwe life ban
Karibuni PM/DM
Tatizo kubwa ni usumbufu wawatu
Kuja dm na kukimbia
kuuliza maswali yasiyo na kichwa Wala miguu
waulizeni wenzenu niliowapa namba jinsi wamefanikiwa kimaisha.
Watu wanaamini uganga hausaidii watu asikudanganye mtu waganga uzunguni ni matajiri sana kama unataka uamini
Ingia TikTok Kuna jamaaa anaitwa DANIEL MACDONALD anaulizaga wazungu matajiri what do you do for a living, wengi ni waganga na wale dream tellers watafsiri wa ndoto Wana magorofa magari na maisha Bora sana na conclude
mganga anatibu matatizo mengi ni ww kumweleza tatizo lako karibuni